Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Hivi mnaona hii pattern ya watu kutekwa sasa hivi pamoja na reporting yake?
Wote (uliondoa wanasiasa mashuhuri) ni wafanyabiashara au wanahusishwa na biashara, na zote bwana Ayo amekuwa mstari wa mbele utafikiri anapewa headsup kuwa hii freshi unaweza kuripoti?!
Halafu tayari kulikuwa na taarifa ya Ulomi kupotea na kutafutwa na polisi, ina maana mifumo haisomani mwili wa mtu asiyetambulika unapopatikana toka tar 11 mpaka leo?🤔
Nawaza tu.... kuna ka kitu kanatengenezwa hapa.
Pia soma: Katibu wa Afya Hospitali ya Mwanyamala: Ulomi alipata ajali, mwili uliletwa December 11, 2024
Hivi mnaona hii pattern ya watu kutekwa sasa hivi pamoja na reporting yake?
Wote (uliondoa wanasiasa mashuhuri) ni wafanyabiashara au wanahusishwa na biashara, na zote bwana Ayo amekuwa mstari wa mbele utafikiri anapewa headsup kuwa hii freshi unaweza kuripoti?!
Halafu tayari kulikuwa na taarifa ya Ulomi kupotea na kutafutwa na polisi, ina maana mifumo haisomani mwili wa mtu asiyetambulika unapopatikana toka tar 11 mpaka leo?🤔
Nawaza tu.... kuna ka kitu kanatengenezwa hapa.