lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Alifariki kwa pikipiki Toka 11/12/2024 hajulikani alipo je hiyo ajali ilitokea maporini ambapo mwili haukuonekana mpaka leo?
Maswali ni mengi sana, kwa ulimwengu huu wa mitandao, mtu anatafutwa tangu tarehe 11, hao wasamaria wema inamaana hawakutambua hiyo picha wakatoa taarifa mapema kwamba alipata ajali mbaya?
Labda tuendelee kusubiri uchunguzi wa kina kama taarifa inavyodai.
Labda tuendelee kusubiri uchunguzi wa kina kama taarifa inavyodai.