Alifariki kwa pikipiki Toka 11/12/2024 hajulikani alipo je hiyo ajali ilitokea maporini ambapo mwili haukuonekana mpaka leo?
Hili jambo lina utata sana. Ina maana kipindi chote hiki hakuna aliyekumbuka kucheki hosptail?
Kama ni hivyo basi inazidi kutia wasiwasi. Alipokelewa hapo dispensary akupelekwa Mwananyamala bila polisi kutaarifiwa? Ajali haikuripotiwa polisi? Mtu akipotea tena akiwa na pikipiki, sehemu za kwanza kutafuta ni hospital na vyumba vya maiti. Ndugu zake na polisi muda wote huu hawakuwa wameulizia? Je, hospital zinapopokea mtu ambaye hajitambui na akafariki, hawatoi taarifa hospital?Labda wasamaria wema, zahanati na hospital wote hawakupata taarifa ya kupotea kwake au hawakumtambua!
Soma thread zinazohusu hilo tukio zipo nyingi tu humuNani huyo aisaidie polisi sio unasema kunamtu tu
Sasa we unataka wafanyaje kama mtu ameshakufaPolisi wasaidiwe wapi tena wakati taarifa yao imekamilika?
Saivi wamehamia hatua ya tatu ya kutafuta chanzo cha ajali ni nini.
Hatua ya kwanza kupokea taarifa, hatua ya pili kutoa mrejesho na ya tatu sasa ni kufuatilia chanzo cha tukio na mwisho kabisa hatua ya nne kama watataka watatoa mrejesho wa chanzo cha ajali.
Utata mtupu.Kama ni hivyo basi inazidi kutia wasiwasi. Alipokelewa hapo dispensary akupelekwa Mwananyamala bila polisi kutaarifiwa? Ajali haikuripotiwa polisi? Mtu akipotea tena akiwa na pikipiki, sehemu za kwanza kutafuta ni hospital na vyumba vya maiti. Ndugu zake na polisi muda wote huu hawakuwa wameulizia? Je, hospital zinapopokea mtu ambaye hajitambui na akafariki, hawatoi taarifa hospital?
Je hakuwa na vitambulisho?Kama ni hivyo basi inazidi kutia wasiwasi. Alipokelewa hapo dispensary akupelekwa Mwananyamala bila polisi kutaarifiwa? Ajali haikuripotiwa polisi? Mtu akipotea tena akiwa na pikipiki, sehemu za kwanza kutafuta ni hospital na vyumba vya maiti. Ndugu zake na polisi muda wote huu hawakuwa wameulizia? Je, hospital zinapopokea mtu ambaye hajitambui na akafariki, hawatoi taarifa hospital?
OkaySoma thread zinazohusu hilo tukio zipo nyingi tu humu
Hospital wakipokea mtu wa ajali ambaye hajitambui na akafariki huwa hawatoi taarifa polisi? Huyu kapotea tangu tarehe 11.Polisi wasaidiwe wapi tena wakati taarifa yao imekamilika?
Saivi wamehamia hatua ya tatu ya kutafuta chanzo cha ajali ni nini.
Hatua ya kwanza kupokea taarifa, hatua ya pili kutoa mrejesho na ya tatu sasa ni kufuatilia chanzo cha tukio na mwisho kabisa hatua ya nne kama watataka watatoa mrejesho wa chanzo cha ajali.
#HABARI Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa Daisle Simion Ulomi, aliyekuwa ameripotiwa kwamba amepotea, alifariki dunia baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia siku ya Desemba 11, 2024.Wakuu,
Hivi mnaona hii pattern ya watu kutekwa sasa hivi pamoja na reporting yake?
Wote (uliondoa wanasiasa mashuhuri) ni wafanyabiashara au wanahusishwa na biashara, na zote bwana Ayo amekuwa mstari wa mbele utafikiri anapewa headsup kuwa hii freshi unaweza kuripoti?!
Halafu tayari kulikuwa na taarifa ya Ulomi kupotea na kutafutwa na polisi, ina maana mifumo haisomani mwili wa mtu asiyetambulika unapopatikana toka tar 11 mpaka leo?🤔
Nawaza tu.... kuna ka kitu kanatengenezwa hapa.
Pia soma: Katibu wa Afya Hospitali ya Mwanyamala: Ulomi alipata ajali, mwili uliletwa December 11, 2024
View attachment 3178170
Wanadai hakuwa na kitambulisho. Ila bado kuna utata mwingi. Mimi nilidhani mtu mwenye pikipiki asiporudi nyumbani tena jiji kama Dar, jambo la kwanza kuja kichwani ni ''ajali'' na kujaribu kutafuta hospital zote!Ja hakuwa na vitambulisho? Je namba ya pikipiki aliyokuwa anaiendesha ilikuwa imesajiliwa kwa jina lipi?
Soma hizi line after lineNani huyo aisaidie polisi sio unasema kunamtu tu
Hatari sana.Wanadai hakuwa na kitambulisho. Ila bado kuna utata mwingi. Mimi nilidhani mtu mwenye pikipiki asiporudi nyumbani tena jiji kama Dar, jambo la kwanza kuja kichwani ni ''ajali'' na kujaribu kutafuta hospital zote!
Kama ni hivyo basi inazidi kutia wasiwasi. Alipokelewa hapo dispensary akupelekwa Mwananyamala bila polisi kutaarifiwa? Ajali haikuripotiwa polisi? Mtu akipotea tena akiwa na pikipiki, sehemu za kwanza kutafuta ni hospital na vyumba vya maiti. Ndugu zake na polisi muda wote huu hawakuwa wameulizia? Je, hospital zinapopokea mtu ambaye hajitambui na akafariki, hawatoi taarifa hospital?
Tajiri mkubwa kama Ulomi anapanda pikipiki?! Wewe ukiambiwa Dewji amepata ajali ya pkpk utaamini. Polisi acheni kuwaona watu wote ni wajinga.Wakuu,
Hivi mnaona hii pattern ya watu kutekwa sasa hivi pamoja na reporting yake?
Wote (uliondoa wanasiasa mashuhuri) ni wafanyabiashara au wanahusishwa na biashara, na zote bwana Ayo amekuwa mstari wa mbele utafikiri anapewa headsup kuwa hii freshi unaweza kuripoti?!
Halafu tayari kulikuwa na taarifa ya Ulomi kupotea na kutafutwa na polisi, ina maana mifumo haisomani mwili wa mtu asiyetambulika unapopatikana toka tar 11 mpaka leo?🤔
Nawaza tu.... kuna ka kitu kanatengenezwa hapa.
Pia soma: Katibu wa Afya Hospitali ya Mwanyamala: Ulomi alipata ajali, mwili uliletwa December 11, 2024
View attachment 3178170
Polisi na Hospitali wanafanya kazi kwa ushirikiano tena wa karibu pale inapohitajika.Hospital wakipokea mtu wa ajali ambaye hajitambui na akafariki huwa hawatoi taarifa polisi? Huyu kapotea tangu tarehe 11.