engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
acha kutufanya hatuna macho wala masikioKila siku huwa nasisitiza hiki ki2 UNAFIKI NA KUKURUPUKA"" . Hapo hcho chombo cha habari kimekurupuka kwani huo mwili wa marehemu ulizikwa tarh 29. Na sio kama jinsi wao walivyoeleza.....kwenye kitaarifa chao cha habari hii ni chuki tu ya waandish wa habari kutaka kulichafua jesh la polisi kabisa siwakubali waandish wa habari ambao ukurupuka tu na kudanganya umma..,
Nikirudi narud na taarifa kamili najua mtanielewa tu.
Kila siku huwa nasisitiza hiki ki2 UNAFIKI NA KUKURUPUKA"" . Hapo hcho chombo cha habari kimekurupuka kwani huo mwili wa marehemu ulizikwa tarh 29. Na sio kama jinsi wao walivyoeleza.....kwenye kitaarifa chao cha habari hii ni chuki tu ya waandish wa habari kutaka kulichafua jesh la polisi kabisa siwakubali waandish wa habari ambao ukurupuka tu na kudanganya umma..,
Nikirudi narud na taarifa kamili najua mtanielewa tu.
Kila siku huwa nasisitiza hiki ki2 UNAFIKI NA KUKURUPUKA"" . Hapo hcho chombo cha habari kimekurupuka kwani huo mwili wa marehemu ulizikwa tarh 29. Na sio kama jinsi wao walivyoeleza.....kwenye kitaarifa chao cha habari hii ni chuki tu ya waandish wa habari kutaka kulichafua jesh la polisi kabisa siwakubali waandish wa habari ambao ukurupuka tu na kudanganya umma..,
Nikirudi narud na taarifa kamili najua mtanielewa tu.
Jamani sio wote, ni baadhi. Mtu na ahukumiwe kwa matendo yake na si ku generalize.