Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 41
Katika hali isiyokuwa ya kawaida RTO 9 Kamanda wa Usalama wa barabarani mkoani Tanga akifuatana na askari wake wanne walimvamia Meneja wa kampuni ya mafuta ya GBP wakampiga hadi akazimia.
Meneja huyo kwa jina la Amour aliyekuwa akitoka kituo cha mafuta cha Airport eneo la Kange alisimishwa alipokuwa akielekea Makorora na kutolewa kwenye gari na kupigwa hadi akazimia.nadni ya gari kulikuwa kuna pesa za mauzo za kituo cha GBP Airport.
Baada ya kutafutwa na Mwajiri wake bila kupatikana kwa kuwa simu zake zilikuwa tayari zipo mikononi mwa askari hao na zimezimwa,mwajiri alianza kazi ya kumtafuta Meneja wake na aliwasiliana na Mkubwa mmoja na kazi ikaanza mara moja.
Mkubwa akawa anampigia simu RTO lakini RTO alikuwa hazipokei.
Baada ya masaa kadhaa RTO na askari wake wakamfikisha meneja yule akiwa hoi kwa kupigwa hadi kituo cha Mabawa.
Habari zaidi zitafuata.
Meneja huyo kwa jina la Amour aliyekuwa akitoka kituo cha mafuta cha Airport eneo la Kange alisimishwa alipokuwa akielekea Makorora na kutolewa kwenye gari na kupigwa hadi akazimia.nadni ya gari kulikuwa kuna pesa za mauzo za kituo cha GBP Airport.
Baada ya kutafutwa na Mwajiri wake bila kupatikana kwa kuwa simu zake zilikuwa tayari zipo mikononi mwa askari hao na zimezimwa,mwajiri alianza kazi ya kumtafuta Meneja wake na aliwasiliana na Mkubwa mmoja na kazi ikaanza mara moja.
Mkubwa akawa anampigia simu RTO lakini RTO alikuwa hazipokei.
Baada ya masaa kadhaa RTO na askari wake wakamfikisha meneja yule akiwa hoi kwa kupigwa hadi kituo cha Mabawa.
Habari zaidi zitafuata.