Pre GE2025 Polisi wazuia maandamano ya wamasai Ngorongoro kupinga kunyimwa haki ya kupiga kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wamasai na kura...mmmh😀😀😀

Mbona sioni hao watu wa kuandamana hapo....?
 
Ni sawa wahame kwenye hifadhi.
 
Wataacha nan kwa boma ati ..na ng'ombe Nani atachunga
 
Watapiga kura kwenye mbuga/hifadhi ya wanyamapori, waende kuishi katika vijiji. Ufugaji wa kizamani utageuza nchi yote kuwa jangwa, waendelee kudhibitiwa. Mbona wakulima walihamishwa operation Vijiji vya Ujamaa toka ardhi za mababu zao. Mifugo, watu na wanyamapori kuishi pamoja mbugani ni shida tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…