Polisi wazuia magari Chunya kwa saa 7 kusubiri mwenge

Polisi wazuia magari Chunya kwa saa 7 kusubiri mwenge

Kilasi Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
2,325
Reaction score
723
Polisi Wilayani Chunya wamezuia magari yote toka Chunya Makongolosi na yote toka vijijini KUSUBIRI MWENGE upite toka saa10 mpaka saa 5 hii.

Mwenge haujulikani uko wapi na utapita saa ngapi. Shughuli zote zimesimama KUSUBIRI upite. Sasa tutalaumuje kwamba maendeleo hayaji Wakati watu wanasimamishwa wilaya nzima KUSUBIRI MWENGE upite?
 
Ni ujinga usiomithilika.

 
Ni ujinga usiomithilika.

Sindio mambo yenu kufanya mauchawi tu na matambiko yasiyo na maana.
 
Polisi Wilayani Chunya wamezuia magari yote toka Chunya Makongolosi na yote toka vijijini KUSUBIRI MWENGE upite toka saa10 mpaka saa 5 hii.

Mwenge haujulikani uko wapi na utapita saa ngapi. Shughuli zote zimesimama KUSUBIRI upite. Sasa tutalaumuje kwamba maendeleo hayaji Wakati watu wanasimamishwa wilaya nzima KUSUBIRI MWENGE upite?

Hizi primitive thinking ndio zinafanya waonekane wajinga. Mwenge umefanya kazi yake but now it belongs to museum
 
Polisi Wilayani Chunya wamezuia magari yote toka Chunya Makongolosi na yote toka vijijini KUSUBIRI MWENGE upite toka saa10 mpaka saa 5 hii.

Mwenge haujulikani uko wapi na utapita saa ngapi. Shughuli zote zimesimama KUSUBIRI upite. Sasa tutalaumuje kwamba maendeleo hayaji Wakati watu wanasimamishwa wilaya nzima KUSUBIRI MWENGE upite?
Ndio jeshi letu hata mawasiliano kwao ni Tatizo... mitambo yao yote na nguvu zao zote wameielekeza kwa Lissu na Kibatala na bado wanawapiga za uso...
 
Ni ujinga wa wachache tu huo na wanojitokeza kuufatilia ni wajinga ndiyo waliwao.

Ni imani za ushirikina kuamini mto alizotuletea nyerere hizo halafu anakuja mtu kama Pascal Mayalla anakwamabia eti nerere ana "iq kubwa". Khaa.
Huo mwenge ni zao la wazee wa Kiislam wa Dar na Bagamoyo.
 
Polisi Wilayani Chunya wamezuia magari yote toka Chunya Makongolosi na yote toka vijijini KUSUBIRI MWENGE upite toka saa10 mpaka saa 5 hii.

Mwenge haujulikani uko wapi na utapita saa ngapi. Shughuli zote zimesimama KUSUBIRI upite. Sasa tutalaumuje kwamba maendeleo hayaji Wakati watu wanasimamishwa wilaya nzima KUSUBIRI MWENGE upite?
Tukisema tuna viongozi wa hovyo mnasema tunatukana wakati ndio ukweli wenyewe
 
Back
Top Bottom