Polisi wetu nyie mna nchi zaidi ya Tanzania?

Polisi wetu nyie mna nchi zaidi ya Tanzania?

Magufuli 05

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2023
Posts
1,433
Reaction score
2,791
Mwalimu Nyerere alipigania Uhuru aikomboe Tanganyika iwe nchi huru kiuchumi, kisiasa, kijamii na kifikra. Wananchi wawe huru kutoa mawazo.

Wananchi wawe huru kuikosoa serikali na kuwa wazalendo wa kutetea raslimali za nchi. Wanaopinga uovu wa mikataba tunayoingia wanatutetea sisi sote mkiwepo na nyie mliofungwa midomo kwasasabu ya kazi zenu. Wanatetea kizazi chetu, chenu na watoto wenu. Kwanini mnawakamata?

Je, nyinyi siyo Watanzania? Wanasiasa wanawatumia leo kesho wata watupa. Wanasiasa wanapita lakini Tanzania itabaki. Kwanini mnawakamata? Ruto kakosolewa vibaya mpaka na maandamano, mbona hajawapa watu kesi za uhaini? Si mliona alichofanya Eric Omondi, ingekuwa ni hapa si mngemuua kabisa?

Polisi wetu tafadhali sana, msipokuwa na uchungu na nchi yetu basi mtatumika mno na hao jamaa watagonga wine huku nyie mkibaki kukaa kwenye nyumba kama mabanda ya kufugia kuku. Kila wananchi wakitaka kutetea nchi nyie mnakuja front, why?

Haya sasa angalieni watu wanataka kwenda Uganda kuanzisha power plant ilihali huku umeme duni. Anayekwenda kuanza hiyo biashara wala hajulikani mtaji kapata wapi.

Polisi wetu, polisi wetu Mungu anawaona. Kama nchi hii itabaki masikini daima, nyie mnamchango mkubwa na pepo mtaisikia tu.
 
Mwalimu Nyerere alipigania Uhuru aikomboe Tanganyika. Iwe nchi huru kiuchumi,siasa,kijamii na kifikra. Wananchi wawe huru kutoa mawazo.
Wananchi wawe huru kuikosoa serikali na kuwa wazalendo wa kutetea raslimali za nchi. Wanaopinga uovu wa mikataba itabaki masikini daima,nyie mnamchango mkubwa na Pepo mtaisikia tu.
Aisee
 
Mwalimu Nyerere alipigania Uhuru aikomboe Tanganyika. Iwe nchi huru kiuchumi,siasa,kijamii na kifikra. Wananchi wawe huru kutoa mawazo.
Wananchi wawe huru kuikosoa serikali na kuwa wazalendo wa kutetea raslimali za nchi.
Huu upuuzi aliuanzisha huyo huyo Mwalimu Nyerere, yeye ndie muasisi wa huu ujinga wa vyombo vya dola na chama cha mboga mboga.
 
Hawa huwa wakistaafu huwa wanapata shida sn
Kuna wengi huwa wanakuja kuomba kazi ya ulinzi ofisn. Kwangu. Yaan wamechoka Sana. Na mimi Sina urafiki na mtu anayeitwa polisi aisee. Adui no kwangu ni ccm. Na wa pili ni polisi Aisee.

Kuna mmoja niliwahi mwajiri bila kujua. Nilipokuja kugundua alikua polisi nilimfukuza bila kufikiria hata mara mbili mbili.

Polis ni washenzi Sana. Na ndo kada yenye mishahara midogo hapa Tanzania. Sasa ukiwakuta kwenye sare zao wanajiona wao ndo Kila kitu.
 
Polisi asilimia 99.99999 hawana IQ ya kutosha.
Mfano; elimu Yao ya kidato cha 4 na darasa la 7 ikoje?.
Hivi mtu mwenye low IQ apewe jukumu la kulinda raia na mali zao kweli?.
Atalinda kimoja wapo,hasa mali,ila sio vyote viwili.
Naihurumia sana nchi yangu.
 
Mwalimu Nyerere alipigania Uhuru aikomboe Tanganyika iwe nchi huru kiuchumi, kisiasa, kijamii na kifikra. Wananchi wawe huru kutoa mawazo.

Wananchi wawe huru kuikosoa serikali na kuwa wazalendo wa kutetea raslimali za nchi. Wanaopinga uovu wa mikataba tunayoingia wanatutetea sisi sote mkiwepo na nyie mliofungwa midomo kwasasabu ya kazi zenu. Wanatetea kizazi chetu, chenu na watoto wenu. Kwanini mnawakamata?

Je, nyinyi siyo Watanzania? Wanasiasa wanawatumia leo kesho wata watupa. Wanasiasa wanapita lakini Tanzania itabaki. Kwanini mnawakamata? Ruto kakosolewa vibaya mpaka na maandamano, mbona hajawapa watu kesi za uhaini? Si mliona alichofanya Eric Omondi, ingekuwa ni hapa si mngemuua kabisa?

Polisi wetu tafadhali sana, msipokuwa na uchungu na nchi yetu basi mtatumika mno na hao jamaa watagonga wine huku nyie mkibaki kukaa kwenye nyumba kama mabanda ya kufugia kuku. Kila wananchi wakitaka kutetea nchi nyie mnakuja front, why?

Haya sasa angalieni watu wanataka kwenda Uganda kuanzisha power plant ilihali huku umeme duni. Anayekwenda kuanza hiyo biashara wala hajulikani mtaji kapata wapi.

Polisi wetu, polisi wetu Mungu anawaona. Kama nchi hii itabaki masikini daima, nyie mnamchango mkubwa na pepo mtaisikia tu.
Mama Abdul ameanza kuonesha makucha yake.
 
Kuna wengi huwa wanakuja kuomba kazi ya ulinzi ofisn. Kwangu. Yaan wamechoka Sana. Na mimi Sina urafiki na mtu anayeitwa polisi aisee. Adui no kwangu ni ccm. Na wa pili ni polisi Aisee.

Kuna mmoja niliwahi mwajiri bila kujua. Nilipokuja kugundua alikua polisi nilimfukuza bila kufikiria hata mara mbili mbili.

Polis ni washenzi Sana. Na ndo kada yenye mishahara midogo hapa Tanzania. Sasa ukiwakuta kwenye sare zao wanajiona wao ndo Kila kitu.
Hawa siyo binadamu wa kawaida hata kidogo
 
Wanatetea kizazi chetu, chenu na watoto wenu. Kwanini mnawakamata?
Hawajakamatwa kwa kutetea kizazi chetu, chenu wala watoto wenu, bali wamekamatwa, na wataendelea kukamatwa, kwa kutaka kuiondoa serikali ( uhaini) na uchochezi. Kwa kifupi wanakamatwa kwa tuhuma za kuvunja sheria.
 
Polisi wetu tafadhali sana, msipokuwa na uchungu na nchi yetu basi mtatumika mno na hao jamaa watagonga wine huku nyie mkibaki kukaa kwenye nyumba kama mabanda ya kufugia kuku
Hawa wana uchungu wa nchi yetu ndo sababu wanawakamata wanaotaka kuiharibu nchi yetu pendwa.
 
Polisi wetu, polisi wetu Mungu anawaona. Kama nchi hii itabaki masikini daima, nyie mnamchango mkubwa na pepo mtaisikia tu.
Wewe kaa usifanye kazi na ubakie maskini halafu umlaumu polisi anayefanya kazi uone!!. Amka, fanya kazi uondoe umaskini wako badala ya kulaumu wengine kwa uvivu wako mwenyewe.
 
Mwalimu Nyerere alipigania Uhuru aikomboe Tanganyika iwe nchi huru kiuchumi, kisiasa, kijamii na kifikra. Wananchi wawe huru kutoa mawazo.

Wananchi wawe huru kuikosoa serikali na kuwa wazalendo wa kutetea raslimali za nchi. Wanaopinga uovu wa mikataba tunayoingia wanatutetea sisi sote mkiwepo na nyie mliofungwa midomo kwasasabu ya kazi zenu. Wanatetea kizazi chetu, chenu na watoto wenu. Kwanini mnawakamata?

Je, nyinyi siyo Watanzania? Wanasiasa wanawatumia leo kesho wata watupa. Wanasiasa wanapita lakini Tanzania itabaki. Kwanini mnawakamata? Ruto kakosolewa vibaya mpaka na maandamano, mbona hajawapa watu kesi za uhaini? Si mliona alichofanya Eric Omondi, ingekuwa ni hapa si mngemuua kabisa?

Polisi wetu tafadhali sana, msipokuwa na uchungu na nchi yetu basi mtatumika mno na hao jamaa watagonga wine huku nyie mkibaki kukaa kwenye nyumba kama mabanda ya kufugia kuku. Kila wananchi wakitaka kutetea nchi nyie mnakuja front, why?

Haya sasa angalieni watu wanataka kwenda Uganda kuanzisha power plant ilihali huku umeme duni. Anayekwenda kuanza hiyo biashara wala hajulikani mtaji kapata wapi.

Polisi wetu, polisi wetu Mungu anawaona. Kama nchi hii itabaki masikini daima, nyie mnamchango mkubwa na pepo mtaisikia tu.
Polisi anatumikia kiapo ukitakwa waache watu wachache wavuruge amani kisa ujinga wao? Unaijua gharama ya amani wewe?

Safi sana Polisi hao Jamaa wakae ndani kama Mashekhe wa uamsho hadi 2030
 
Polisi anatumikia kiapo ukitakwa waache watu wachache wavuruge amani kisa ujinga wao? Unaijua gharama ya amani wewe?

Safi sana Polisi hao Jamaa wakae ndani kama Mashekhe wa uamsho hadi 2030
Sasa wakae ndani kwa kosa Gani? Uhaini? Uhaini unaweza fanywa na muomba mungu? Amani huku unaibiwa kila siku?
 
Back
Top Bottom