Polisi yabaini hekari 100 za bangi

Hill ni eneo la serikali hivyo wa kuulizwa na kuhojiwa ni serikali
hata hivyo wangekuta madini wangemuuliza nani ?
Wangekuta madini wangepongezwa kwa ugunduzi na kupewa Tuzo na Mh. Rais Tshs 100,000,000/= each kama Kule Mererani
 
... na mvua zilivyonyesha msimu huu bangi imestawi balaa na palizi ya uhakika shamba liko safi kabisa imebaki bangi tu! Kuna haja sasa ya kuruhusu huu mmea kibiashara nchi ipate fedha za kigeni.
 
Hizi ndyo dili za kufanya. Ukidabuka huachi familia yako masikini.
 
Waache ungese na kiki watafute kazi za kufanya, bangi sio haramu nina ushahidi mle sisipii chuo cha wachawi kuna sehem kuna miche ya bangi na inavutwa wazi wazi.
 
Afande Sele hausiki na huo mradi 🤔

Ila hata majina ya vijiji yanahamasisha kuwa na mradi huo Kweli Kijiji kinaitwa BUNDUKI kingine MISENGE
 
LEOO MNAJUA MOROGOROOO

MARA
MUSOMAA.
MASHBA YOTE YA MIWA MNAYOONA YANA BANGI NADANI MNAFIKA NA DEFENDERNAMALIZANA MNAGEUKAA MSTAKE NIPGEEE KELELEE HAPA NTAORODHESHA KIMOJA KIMOJA
KAMUULIZENI RC AWAMBIE



KAMULLIZEN X DC AWAAAMBIEEE
 
KARUKWA MTU HAPO KWENYE MALIPO


AMWAMINI TAKUKURU WAENDE
 
Wacha watanzania tuendelee kuwa maskini. Sasa fursa yote hiyo?! Kwanza wangepata kodi. Pili dawa ya kutibu. Tatu wananchi kujikimu...bure kabisa
 
Jani Bora Zaidi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kijiji kinaitwa Bunduki unadhan watu wake watakua na tabia gani
 
Kwa vile ni bangi wahusika wanatafutwa. Yangekuwa madini yangekuwa ni ya serikali bila kuhoji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…