Polisi yachomoa betri,yaipiga Yanga SC 2-0

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Yanga ikiwa imeingiza full mkoko full kikosi imekula bao 2 bila na timu ya Polisi Tanzania
Yanga imecheza mechi hii kujiandaa za mechi ya kimataifa dhidi ya Township rollers.

Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa. Sio kwa aibu hii.
Kikosi kikali
 
Ngojea mapovu sasa [emoji23]
 
Mchezo wa kirafiki kati Yanga na timu Polisi Tanzania umemalizika katika viwanja vya ushirika mjini Moshi Kilimanjaro kwa timu ya Yanga kulala goli 2 bila.
Poleni vyura kwa kukalishwa na Polisi Tz
 
Huwa nasemaga Sana kwamba kuna timu Bora Tu huko mikoani lakini siasa na upangaji wa matokeo upo kisimba na kiyanga
 
Hongera kocha matola
 
Matola kabadilisha kamwene na pingu lakini kipigo kipo pale pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…