Pre GE2025 Polisi yaizuia Mkutano wa CCM kufanyika Ngorongoro

Pre GE2025 Polisi yaizuia Mkutano wa CCM kufanyika Ngorongoro

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba ni Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah au johnthebaptist ndiyo waliopiga marufuku?

Tufanye tumekubali.

Hongereni!
ni utarabu wa kawaida na wala si jambo geni kwa mamlaka za ulinzi na usalama kufanya kazi yao kulingana na hali ya kiusalama maeneo husika.

na actually sio ngorongoro tu, hata maeneo mengine nchini mambo haya hutokea,

so ,
ni vizur viongozi waaandamizi wa CCM wakafuata maelekezo na kuendelea na ratiba nyingine maeneo mengine nchini, mpaka pale itakavyoelekezwa vinginevyo kwenye eneo hilo siku za usoni, kama ambavyo inasema taarifa husika ya police 🐒

au kuna ubaya wowote ndrugo nzango...
 
Jeshi la Polisi nchini limezuia mikutano ya hadhara ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyopangwa kufanyika wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha kuanzia Agosti 29.2024 hadi Septemba 15.2024, mikutano iliyotarajiwa kuongozwa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Gabriel Makala

Taarifa ya Jeshi hilo iliyotumwa kutoka ofisi ya Mkuu wa Polisi (OCD) wilaya ya Ngorongoro kwenda ofisi kuu ya CCM wilaya ya Ngorongoro ikijibu barua ya CCM yenye kumbukumbu namba CCM/NGN/OFU/10/311/VOL. 111/37 ya Agosti 23.2024 imeeleza kuwa mikutano hiyo haijaruhusiwa

Taarifa hiyo imeendelea kufafanua kuwa kutokana na shughuli za kuimarisha usalama zinazoendelea katika maeneo hayo (Ngorongoro) Jeshi la Polisi limesitisha mikutano, mikusanyiko ya watu katika maeneo hayo nk, hadi hapo itakavyoelekezwa vinginevyo siku za usoni

Taarifa hiyo ya Jeshi la Polisi iliyotolewa Agosti 27.2024 imesainiwa na SSP L.N.Ncheyeki ambaye ni Mkuu wa Polisi wilaya ya Ngorongoro
Mazingaombwe tu haya ili kuwazuia Chadema wasiende kufanya mikutano huko. Kwanza hilo bumumnda Makalla nani ana muda wa kulisikiliza huko Umasaini?
 
ni utarabu wa kawaida na wala si jambo geni kwa mamlaka za ulinzi na usalama kufanya kazi yao kulingana na hali ya kiusalama maeneo husika.

na actually sio ngorongoro tu, hata maeneo mengine nchini mambo haya hutokea,

so ,
ni vizur viongozi waaandamizi wa CCM wakafuata maelekezo na kuendelea na ratiba nyingine maeneo mengine nchini, mpaka pale itakavyoelekezwa vinginevyo kwenye eneo hilo siku za usoni, kama ambavyo inasema taarifa husika ya police 🐒

au kuna ubaya wowote ndrugo nzango...

Subirini somo la wamasai litukolee:

Wamasai wapewe maua yao kwa kuipenda nchi yao!
 
hapa ndio tunawafundisha kwa vitendo chadema habari za 4R

chama cha mapinduzi ndio darasa la siasa kote tuniani uliza mtu yoyote
 
Jeshi la Polisi nchini limezuia mikutano ya hadhara ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyopangwa kufanyika wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha kuanzia Agosti 29.2024 hadi Septemba 15.2024, mikutano iliyotarajiwa kuongozwa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Gabriel Makala

Taarifa ya Jeshi hilo iliyotumwa kutoka ofisi ya Mkuu wa Polisi (OCD) wilaya ya Ngorongoro kwenda ofisi kuu ya CCM wilaya ya Ngorongoro ikijibu barua ya CCM yenye kumbukumbu namba CCM/NGN/OFU/10/311/VOL. 111/37 ya Agosti 23.2024 imeeleza kuwa mikutano hiyo haijaruhusiwa

Taarifa hiyo imeendelea kufafanua kuwa kutokana na shughuli za kuimarisha usalama zinazoendelea katika maeneo hayo (Ngorongoro) Jeshi la Polisi limesitisha mikutano, mikusanyiko ya watu katika maeneo hayo nk, hadi hapo itakavyoelekezwa vinginevyo siku za usoni

Taarifa hiyo ya Jeshi la Polisi iliyotolewa Agosti 27.2024 imesainiwa na SSP L.N.Ncheyeki ambaye ni Mkuu wa Polisi wilaya ya Ngorongoro
Hizo ni fix tu za kuzuia Chadema wasifike huko
 
Jeshi la Polisi nchini limezuia mikutano ya hadhara ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyopangwa kufanyika wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha kuanzia Agosti 29.2024 hadi Septemba 15.2024, mikutano iliyotarajiwa kuongozwa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Gabriel Makala

Taarifa ya Jeshi hilo iliyotumwa kutoka ofisi ya Mkuu wa Polisi (OCD) wilaya ya Ngorongoro kwenda ofisi kuu ya CCM wilaya ya Ngorongoro ikijibu barua ya CCM yenye kumbukumbu namba CCM/NGN/OFU/10/311/VOL. 111/37 ya Agosti 23.2024 imeeleza kuwa mikutano hiyo haijaruhusiwa

Taarifa hiyo imeendelea kufafanua kuwa kutokana na shughuli za kuimarisha usalama zinazoendelea katika maeneo hayo (Ngorongoro) Jeshi la Polisi limesitisha mikutano, mikusanyiko ya watu katika maeneo hayo nk, hadi hapo itakavyoelekezwa vinginevyo siku za usoni

Taarifa hiyo ya Jeshi la Polisi iliyotolewa Agosti 27.2024 imesainiwa na SSP L.N.Ncheyeki ambaye ni Mkuu wa Polisi wilaya ya Ngorongoro
Kupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi?
 
ni utarabu wa kawaida na wala si jambo geni kwa mamlaka za ulinzi na usalama kufanya kazi yao kulingana na hali ya kiusalama maeneo husika.

na actually sio ngorongoro tu, hata maeneo mengine nchini mambo haya hutokea,

so ,
ni vizur viongozi waaandamizi wa CCM wakafuata maelekezo na kuendelea na ratiba nyingine maeneo mengine nchini, mpaka pale itakavyoelekezwa vinginevyo kwenye eneo hilo siku za usoni, kama ambavyo inasema taarifa husika ya police 🐒

au kuna ubaya wowote ndrugo nzango...
Akili fupi hizi.
 
Back
Top Bottom