Uvccm mfuu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2024
- 453
- 492
Imba imba mapambio mpaka utazeekea jf Kwa buku saba vyeo vinaenda na kina msigwa huku ukiwaimbia mapambio.Naipongeza sana CCM kwa kutii , kuheshimu na kufuata maelekezo ya jeshi la polisi. Wangekuwa ni Ma CHADEMA ungeona wanaanza kuropoka ropoka na kutoa matamko ya uchochezi na mavurugu tu.
ni utarabu wa kawaida na wala si jambo geni kwa mamlaka za ulinzi na usalama kufanya kazi yao kulingana na hali ya kiusalama maeneo husika.Kwamba ni Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah au johnthebaptist ndiyo waliopiga marufuku?
Tufanye tumekubali.
Hongereni!
Mazingaombwe tu haya ili kuwazuia Chadema wasiende kufanya mikutano huko. Kwanza hilo bumumnda Makalla nani ana muda wa kulisikiliza huko Umasaini?Jeshi la Polisi nchini limezuia mikutano ya hadhara ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyopangwa kufanyika wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha kuanzia Agosti 29.2024 hadi Septemba 15.2024, mikutano iliyotarajiwa kuongozwa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Gabriel Makala
Taarifa ya Jeshi hilo iliyotumwa kutoka ofisi ya Mkuu wa Polisi (OCD) wilaya ya Ngorongoro kwenda ofisi kuu ya CCM wilaya ya Ngorongoro ikijibu barua ya CCM yenye kumbukumbu namba CCM/NGN/OFU/10/311/VOL. 111/37 ya Agosti 23.2024 imeeleza kuwa mikutano hiyo haijaruhusiwa
Taarifa hiyo imeendelea kufafanua kuwa kutokana na shughuli za kuimarisha usalama zinazoendelea katika maeneo hayo (Ngorongoro) Jeshi la Polisi limesitisha mikutano, mikusanyiko ya watu katika maeneo hayo nk, hadi hapo itakavyoelekezwa vinginevyo siku za usoni
Taarifa hiyo ya Jeshi la Polisi iliyotolewa Agosti 27.2024 imesainiwa na SSP L.N.Ncheyeki ambaye ni Mkuu wa Polisi wilaya ya Ngorongoro
CCM wameamua kujizuia wenyewe ili na wanasiasa wengine wasitie mguu kule.
ni utarabu wa kawaida na wala si jambo geni kwa mamlaka za ulinzi na usalama kufanya kazi yao kulingana na hali ya kiusalama maeneo husika.
na actually sio ngorongoro tu, hata maeneo mengine nchini mambo haya hutokea,
so ,
ni vizur viongozi waaandamizi wa CCM wakafuata maelekezo na kuendelea na ratiba nyingine maeneo mengine nchini, mpaka pale itakavyoelekezwa vinginevyo kwenye eneo hilo siku za usoni, kama ambavyo inasema taarifa husika ya police 🐒
au kuna ubaya wowote ndrugo nzango...
wenye imani potofu na washirikina ndio pekee wanaweza kupoteza muda kusubiri ramli kama unazotabiri 🐒
Hizo ni fix tu za kuzuia Chadema wasifike hukoJeshi la Polisi nchini limezuia mikutano ya hadhara ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyopangwa kufanyika wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha kuanzia Agosti 29.2024 hadi Septemba 15.2024, mikutano iliyotarajiwa kuongozwa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Gabriel Makala
Taarifa ya Jeshi hilo iliyotumwa kutoka ofisi ya Mkuu wa Polisi (OCD) wilaya ya Ngorongoro kwenda ofisi kuu ya CCM wilaya ya Ngorongoro ikijibu barua ya CCM yenye kumbukumbu namba CCM/NGN/OFU/10/311/VOL. 111/37 ya Agosti 23.2024 imeeleza kuwa mikutano hiyo haijaruhusiwa
Taarifa hiyo imeendelea kufafanua kuwa kutokana na shughuli za kuimarisha usalama zinazoendelea katika maeneo hayo (Ngorongoro) Jeshi la Polisi limesitisha mikutano, mikusanyiko ya watu katika maeneo hayo nk, hadi hapo itakavyoelekezwa vinginevyo siku za usoni
Taarifa hiyo ya Jeshi la Polisi iliyotolewa Agosti 27.2024 imesainiwa na SSP L.N.Ncheyeki ambaye ni Mkuu wa Polisi wilaya ya Ngorongoro
Kupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi?Jeshi la Polisi nchini limezuia mikutano ya hadhara ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyopangwa kufanyika wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha kuanzia Agosti 29.2024 hadi Septemba 15.2024, mikutano iliyotarajiwa kuongozwa na Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Gabriel Makala
Taarifa ya Jeshi hilo iliyotumwa kutoka ofisi ya Mkuu wa Polisi (OCD) wilaya ya Ngorongoro kwenda ofisi kuu ya CCM wilaya ya Ngorongoro ikijibu barua ya CCM yenye kumbukumbu namba CCM/NGN/OFU/10/311/VOL. 111/37 ya Agosti 23.2024 imeeleza kuwa mikutano hiyo haijaruhusiwa
Taarifa hiyo imeendelea kufafanua kuwa kutokana na shughuli za kuimarisha usalama zinazoendelea katika maeneo hayo (Ngorongoro) Jeshi la Polisi limesitisha mikutano, mikusanyiko ya watu katika maeneo hayo nk, hadi hapo itakavyoelekezwa vinginevyo siku za usoni
Taarifa hiyo ya Jeshi la Polisi iliyotolewa Agosti 27.2024 imesainiwa na SSP L.N.Ncheyeki ambaye ni Mkuu wa Polisi wilaya ya Ngorongoro
Hilo ni guluguja mashavu kama paka wa barPedeshee katika ubora wake,kichwani hamnazo
~¿¥60☆#Kupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi?
hapa ndio tunawafundisha kwa vitendo chadema habari za 4R
chama cha mapinduzi ndio darasa la siasa kote tuniani uliza mtu yoyote
[emoji3][emoji3][emoji3]Maigizo
Akili fupi hizi.ni utarabu wa kawaida na wala si jambo geni kwa mamlaka za ulinzi na usalama kufanya kazi yao kulingana na hali ya kiusalama maeneo husika.
na actually sio ngorongoro tu, hata maeneo mengine nchini mambo haya hutokea,
so ,
ni vizur viongozi waaandamizi wa CCM wakafuata maelekezo na kuendelea na ratiba nyingine maeneo mengine nchini, mpaka pale itakavyoelekezwa vinginevyo kwenye eneo hilo siku za usoni, kama ambavyo inasema taarifa husika ya police 🐒
au kuna ubaya wowote ndrugo nzango...