Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja haikidhi kanuni za bunge 😁Na wale wafuasi wa supika wanasemaje kuhusu hii taarifa?
Dunia nzima kuna wauaji hadi wanakufa hawakamatwi na mauaji yanabaki kua unsolvedkama watu waliuliwa hivi na Polisi wakawa hawajui basi hatuna Jeshi la polisi.
kwa sababu kazi yao ni kuzuia Uhalifu sio kushughulika na madhara yamatukio ya uhalifu huo
Hili tulilipigia kelele sana enzi za Dkt Magufuli. Heko jeshi la polisi. Yaani hawa wahuni walimteka mpaka MoHongera sana Police kwa kazi HIYO. Kwa vyovyote watu hao bado kuna uwezekano wa kuwa na matukio ya aina hiyo kwa miaka ya nyuma.
Msiwapeleke mahakamani haraka
- Wahojiwe zaidi
- Manyoni hawawezi kukosekana
* Why wengi wa waliouawa ni miaka kati ya 23 -28?
Spinning