Polisi yakamata mtandao wa mauji nchini yafukua miili 7 Dodoma na 3 singida ,watekaji wadakwa

Polisi yakamata mtandao wa mauji nchini yafukua miili 7 Dodoma na 3 singida ,watekaji wadakwa

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Hongera jeshi kwa kazi nzuri sana

USSR
20240828_120042.jpg
20240828_120134.jpg
 
Hongera sana Police kwa kazi HIYO. Kwa vyovyote watu hao bado kuna uwezekano wa kuwa na matukio ya aina hiyo kwa miaka ya nyuma.
  • Wahojiwe zaidi
  • Manyoni hawawezi kukosekana
Msiwapeleke mahakamani haraka
* Why wengi wa waliouawa ni miaka kati ya 23 -28?
 
Hongera sana Police kwa kazi HIYO. Kwa vyovyote watu hao bado kuna uwezekano wa kuwa na matukio ya aina hiyo kwa miaka ya nyuma.
  • Wahojiwe zaidi
  • Manyoni hawawezi kukosekana
Msiwapeleke mahakamani haraka
* Why wengi wa waliouawa ni miaka kati ya 23 -28?
Hili tulilipigia kelele sana enzi za Dkt Magufuli. Heko jeshi la polisi. Yaani hawa wahuni walimteka mpaka Mo
 
Najiuliza what is the motive behind all this, hasa wakati huu ambapo viongozi kadhaa wa Chadema wametekwa na hawajulikani walipo mpaka leo, tena zaidi ya wiki tangu kitekwa kwao?

Naamini hii ni mbinu ya polisj kutuandaa watanganyika kisaikolojia, ili siku ikifika waachiwe wale waliotekwa, isionekane kama polisi ndio walihusika kwenye kutekwa kwao.

Naandika hivi kwasababu jeshi la polisi limeshakanusha kuwashikilia mateka, akiwemo Soka aliyetekwa akienda kuchukua pikipiki yake kituo cha polisi.

Lakini wanasahau ni juzi tu walikiri wenyewe kumshikilia Kombo Mbwana kule Tanga kwa zaidi ya siku ishirini, huu mchezo wa kijinga walifundishwa na Samia, bahati mbaya sasa wameucheza vibaya ndio wanahangaika kujinasua, it's too late.
 
Back
Top Bottom