Polisi yakamata mtandao wa mauji nchini yafukua miili 7 Dodoma na 3 singida ,watekaji wadakwa

Polisi yakamata mtandao wa mauji nchini yafukua miili 7 Dodoma na 3 singida ,watekaji wadakwa

Kombo Mbwana, mwanachama wa Chadema Tanga, alifichwa na jeshi la polisi kwa zaidi ya siku kumi, pamoja na kutafutwa vituo vyote vya polisi hawakuambiwa alipo.

Mwisho wa siku ni kamanda wa polisi mkoa wa Tanga ndie akatoa mwenyewe taarifa ya kumshikilia, ukiona kitu kimeandikwa ujue mwandishi ana uhakika wa 100% wa kile anachoandika.

This is beyond kulinda raia na mali zao, kazi nyingine ya polisi imeshathibitika ni kuilinda CCM na interest zake.
Ndio haya ninayosema kwa hivyo katika watu million 60+ kundi ambalo linatakiwa kusikilizwa na polisi na kutolewa majibu taarifa zao ni CDM tu.

Umesoma hiyo taarifa hadi polisi kuingilia kati chanzo chake ni wananchi wa Singida kutaka kuona wanakuchukua hatua kwa yanayoendelea huko.

Ina maana hao wananchi wasingida hawastahili huduma ya polisi, kupewa taarifa upelelezi ulipofikia na hatua za mbele.

Jeshi la polisi halipo kwa ajili ya CDM tu. Yaani watu wengine wasilindwe wala kuhakikishiwa usalama wao na wakipewa taarifa kuhusu jambo husika hata kama na lenyewe ni recent crime act. Polisi wakifanya hivyo ni kupoteza kuongelewa kesi za CDM.

The world doesn’t resolve round CDM, kuna kesi luluki jeshi polisi inaangaika nazo na wahusika wanahitaji majibu pia. Na wafiwa wamateka wana uchungu na ndugu zao kama wewe ulivyo na huyo mwanachama mwenzako.
 
Ndio haya ninayosema kwa hivyo katika watu million 60+ kundi ambalo linatakiwa kusikilizwa na polisi na kutolewa majibu taarifa zao ni CDM tu.

Umesoma hiyo taarifa hadi polisi kuingilia kati chanzo chake ni wananchi wa Singida kutaka kuona wanakuchukua hatua kwa yanayoendelea huko.

Ina maana hao wananchi wasingida hawastahili huduma ya polisi, kupewa taarifa upelelezi ulipofikia na hatua za mbele.

Jeshi la polisi halipo kwa ajili ya CDM tu. Yaani watu wengine wasilindwe wala kuhakikishiwa usalama wao na wakipewa taarifa kuhusu jambo husika hata kama na lenyewe ni recent crime act. Polisi wakifanya hivyo ni kupoteza kuongelewa kesi za CDM.

The world doesn’t resolve round CDM, kuna kesi luluki jeshi polisi inaangaika nazo na wahusika wanahitaji majibu pia. Na wafiwa wamateka wana uchungu na ndugu zao kama wewe ulivyo na huyo mwanachama mwenzako.
Polisi ni sehemu ya watekaji hapa nchini, na hili wamelithibitisha wao wenyewe kwa mfano wa Kombo Mbwana niliokupa uliotokea kule Tanga.

Zaidi, kwanini niamini hii taarifa ya hawa polisi ambao kila siku wanajisifu wana intelijensia ya kuzuia mikutano ya Chadema, lakini hawana hiyo intelijensia ya mauaji yaliyokuwa yakitokea mkoani Singida mpaka watu saba wakauwawa na kuzikwa?

Hivi hii intelijensia ya polisi iko kwa ajili ya Chadema pekee?! mtu akiwa na akili za ki CCM kama zako, naamini utanijibu ndio.

Kila siku viongozi wa Chadema wanatekwa maeneo tofauti, polisi wako kimya kila wakiulizwa wanasema hawajui, sasa hawa wako kwa ajili ya kuwalinda raia gani na mali zao? au Chadema sio raia halali wa hii nchi?!

Polisi wamewahi kutoa taarifa ya walipofikia kuhusu kuwatafuta wanachadema waliopotea? No. Why? simply kwasababu wao ndio wahusika.

Tanua ubongo huo.
 
Polisi ni sehemu ya watekaji hapa nchini, na hili wamelithibitisha wao wenyewe kwa mfano wa Kombo Mbwana niliokupa uliotokea kule Tanga.

Zaidi, kwanini niamini hii taarifa ya hawa polisi ambao kila siku wanajisifu wana intelijensia ya kuzuia mikutano ya Chadema, lakini hawana hiyo intelijensia ya mauaji yaliyokuwa yakitokea mkoani Singida mpaka watu saba wakauwawa na kuzikwa?

Hivi hii intelijensia ya polisi iko kwa ajili ya Chadema pekee?! mtu akiwa na akili za ki CCM kama zako, naamini utanijibu ndio.

Kila siku viongozi wa Chadema wanatekwa maeneo tofauti, polisi wako kimya kila wakiulizwa wanasema hawajui, sasa hawa wako kwa ajili ya kuwalinda raia gani na mali zao? au Chadema sio raia halali wa hii nchi?!

Polisi wamewahi kutoa taarifa ya walipofikia kuhusu kuwatafuta wanachadema waliopotea? No. Why? simply kwasababu wao ndio wahusika.

Tanua ubongo huo.
Ndio maana nikakueleza dunia aizunguki kwa sababu ya wana CDM.

Umeshahitimisha vitu kwa sample ndogo sana. Unaweza kutuambia kwa siku ni watanzania wangapi ndugu na jamaa zao wana report kupotea?

Kwanini udhani hao wote wanatakiwa kuwa ignored huyo CDM centre of attention ya jeshi la polisi.

Tanga na Singida wapi na wapi. Unataka RPC wa Singida aangaike na mambo ya Tanga. Hakuna uhalifu mwingine unatokea zaidi ya kutekwa kwa mtu mmoja.

Hayo ya intelligence wala sito jibu. Watu wanatoa report za crimes zingine. Nyie ni mnakadhana huku ni kuzima malalamiko yenu.

Title ya mada ni jeshi la polisi kukamata wahalifu, intention ni kuhabarisha umma.

Wewe unadhani kuna agenda nyingine ya habari kwa vitu vilivyopo kichwani ambapo ni ku-downplay malalamiko ya CDM. Habari za mauaji ya Singida inahusiana vipi na case zingine, huko bungeni wameanza kuongelea kupotea kwa watu unadhani wote wanaopotea ni CDM

Wewe badala ya kuongelea issue husika unaleta hadithi za sijui Kombo Mbwana (sisemi hastahili maelezo), mara intelligence ya polisi kuzuia mikutano ya CDM; what has that got to with this police ‘communique’

Ina maana polisi hawatakiwi kutoa report ya criminal events zingine zaidi ya malalamiko ya CDM tu. You people live in lala land.
 
Hongera jeshi kwa kazi nzuri sana

USSR
Kama kweli wapo kazini, wawakamate watekaji wa Sativa pamoja na wale vijana wa Chadema waliotekwa wakielekea kuitikia wito wa Polisi kituo cha Chang'ombe Dsm kutambua pikipiki yao.

Watekaji na wauaji hao wametajwa kwa majina na Mh. Mbowe na vyanzo vingine: akina Rasta na nani sijui, walitajwa wengi.

Bila ya kushughulika na hilo genge, Polisi bado imejipaka matope kwa jamii ya Tz, hawawezi kuja na ajenda muflisi kutaka kujikosha.
 
Najiuliza what is the motive behind all this, hasa wakati huu ambapo viongozi kadhaa wa Chadema wametekwa na hawajulikani walipo mpaka leo, tena zaidi ya wiki tangu kitekwa kwao?

Naamini hii ni mbinu ya polisj kutuandaa watanganyika kisaikolojia, ili siku ikifika waachiwe wale waliotekwa, isionekane kama polisi ndio walihusika kwenye kutekwa kwao.

Naandika hivi kwasababu jeshi la polisi limeshakanusha kuwashikilia mateka, akiwemo Soka aliyetekwa akienda kuchukua pikipiki yake kituo cha polisi.

Lakini wanasahau ni juzi tu walikiri wenyewe kumshikilia Kombo Mbwana kule Tanga kwa zaidi ya siku ishirini, huu mchezo wa kijinga walifundishwa na Samia, bahati mbaya sasa wameucheza vibaya ndio wanahangaika kujinasua, it's too late.
Huu mchezo ulianza kufanyiwa testing awamu iliyopita. Ukaonekana unafaa sana, sasa hivi wana utekeleza.

Lakini about theory yako ,japo hakuna uhakika lakini kuna ila time will tell
 
kama watu waliuliwa hivi na Polisi wakawa hawajui basi hatuna Jeshi la polisi.

kwa sababu kazi yao ni kuzuia Uhalifu sio kushughulika na madhara yamatukio ya uhalifu huo
Majukumu yao makuu kwa sasa ni kuwa subiria wakosoaji wa ccm wa-deal nao.
 
polisi sometimes wanakuwa busy kukusanya rushwa zao tu..wanasahau majukumu yao ya kila siku jamani..tunauwawa kama wanyama siku hizi
 
Back
Top Bottom