hata mimi nafahamu, wapigaji wa kwenye magodown hawaendi na silaha, ndio maana nikasema kama wamejiridhisha ni majambazi kweli wana mapanga na bunduki. Wazee wamagodown huwa ni michongo tu.
Ni upumbavu kumpeleka muhalifu hospital akatumie kodi zetu. Njia sahihi ya kuwamaliza wahalifu ni kutumia bunduki, bunduki ndio solution ya kuishape Jamii ikae kwenye mstari, kwann uwe mwizi.