Polisi yamtaka Zitto Kabwe kuwasilisha taarifa za Kigogo ili akamatwe

Status
Not open for further replies.
Hizo zingine Ni ishu ambazo hazina maana,,Ni muhimu Sana tumuweke mbaroni kigogo
Kwa kosa gani?

Anzeni na wale waliojiapiza kumuua Zitto Kabwe.
Au Musiba anayetishia maisha ya watu kila uchwao.
Au KM uchwara Bashiru anayeropokaropoka hovyo eti CCM itashinda kwa mtutu wa bunduki!

Nyie ndiyo mnaopenda kuiona nchi yetu ijitumbukize kwenye civil unrest nyie!!
 
Guy nikitaka kwenda los angel nipande gari za ubungo maziwa halafu nipande bodaboda zinazo elekea wapi tena?
 
Serikali iachane na mambo ya kipuuzi, ijikite ktk kushughulikia mambo muhimu kama ukosefu wa ajira, wanafunzi kukosa mikopo, huduma duni za afya na wajue Corona iko njiani.

Elimu inayoporomoka kila uchao, asilimia kubwa ya watanzania hawana maji safi na salama na kuporomoka kwa haki za binadamu.

Hayo ndio mambo muhimu ya kushughulikia, kumtafuta sijui Kigogo hakuwezi kutatua chochote kati ya hayo ni kufanya serikali ionekane haijui ni kwa nini iko madarakani.
 
Hawa polisi vipi mbona mikutano ya chadema huwa wanazuia kwa kusema wamepata taarifa za kiinteligensia sasa hizi za kigogo hawana?!
 
Sawa anatakiwa asaidie. Cyber crime unit mmeshindwa?
 
Naomba polisi waanze na kuwakamata wale vijana wa CCM waliofanya fujo kwenye mkutano wa Mheshimiwa Mbowe, ambao picha na majina yao yamewekwa hadharani kwenye mitandao.
 
Kigogo ni muhimu kulindwa zaidi hata ya baraza zima la wanaojiita mawaziri!
 
Kigogo ni muhimu kulindwa zaidi hata ya baraza zima la wanaojiita mawaziri!
For me huyu kigogo hahitaji ulinzi wowote!!practically ni ngumu sana kumpata kigogo labda ajitaje mwenyewe kama Mange au wampate kwa uchawi? ngoja nisaidie wasiojua

Kigogo akiwa yuko nje ya nchi ili wampate ni lazima waongee na Twitter wapewe email address yake then waende google au yahoo au hotmail ili wapewe namba ya cm aliyoitumia kusajili email akaunti aliyotumia kujiunga twitter au IP address ambayo yaweza pia kuwa na watumiaji wengi kama anarusha makombora kwa wifi ya ofisi, ( hili la kupewa data za mhusika litafanyika siku Yesu akirudi sababu hakuna huo utaratibu wa hizo kampuni za kizungu kuvunja mkataba wa kujiunga wa wateja wake, never on earth! )

kisha labda wakipata hiyo namba ya cm waangalie ni nchi gani yupo wawasiliane na kampuni ya cm ya hiyo nchi na serikali ya nchi hiyo wapewe utambulisho na anaweza kukana siyeye anaeandika sababu ni lazima aonekane akiandika ili ahukumiwe na pia namba ya cm huhama umiliki kutoka mtu mmoja na mwingine sababu ukiacha kutumia namba anapewa mwingine!! sasa hata wakipata namba wanaweza kukuta anaetumia ni bibi wa kizungu!! kwa ulaya na US serikali yetu kupewa hiyo namba hilo litawezekana kwa kumfufua Mandela aje atoe majibu).

ningeishauri serikali yangu kuachana na wazo hilo la kumjua kigogo na badala yake kuweka kikosi cha kupambana na uzushi wa kigogo na si kigogo mwenyewe for me it is a waste of time!!

kwa wanaoishi ulaya na Us watanielewa 100% wengine am sorry!!
 
Sijaona huo "uzushi" bali ni "facts tupu" Hii ni mtazamo wangu tu! Tunapigwa sana ktk awamu hii!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…