# Maandamano hayo uharamu wake ni pale Polisi watakapozuia - ikizuiliwa msilazimishe mkasababisha vifo kama ilivyotokea kwa Acquiline.
# Mimi na ninyi bima zenu zinaishia ngazi ya kata wkt viongozi walioitisha maandamano matibabu yao ni SA, India, US nk nk.
# Walioitisha maandamano wengi wao wana makazi US, UK, Dubai, Belgium nk nk wkt sisi wengine makazi yetu yako Mbagala tu.
# Wanaoitisha maandamano benki zao zimejaa ukwasi wkt sisi kwenye akaunti za M-pesa kumejaa songesha. Na salio letu tunaongeza kwa Nipige tafu.
Huu ni ushauri tu kwenu, kama huna chefu'cha ruguru susia maandamano!
Ngaika Ndenda