Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
😡😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelekezo kutoka juu.Maandamano ya amani ni haki ya Kikatiba kwanini Mapolisi wayapige marufuku?
Tunatarajia kuruhusu maandamano nchi kuwa ya kidemokrasia maana Jiwe hayupo tena.Hao ni Policcm unatarajia nini kutoka kwao.
Hao wa juu waache kukanyaga katiba.Maelekezo kutoka juu.
Samia ni dikteta mbaya huenda kuliko mtangulizi wakeSi tulikubaliana kwamba saizi Uhuru umejaa mpaka umemwagika na mpiga Demo +Kratos hayupo tena kantri imeanza upya? Kwanini tena sauti za watu zinazibwa au Kamanda Mulilo huwa hamsikilizi Hangaya vizuri
Maandamano ya amani ni haki ya Kikatiba kwanini Mapolisi wayapige marufuku?
Unakurupuka.Saa 100 arudishwe zenji kinguvu
Mto wa mbu uko wapi saa hii?
Unaweza kukuta jamaa bado amelala🙂Watu ni ma keyboard warriors