Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
amani imechezewaje ?AMANI YA NCHI NI MUHIMU SANA KULIKO wafuasi wa Chadema, kamwe tusikubali wahuni wachache wakajaribu kuichezea Amani yetu.
yeyote atakaye jiona ana uhalali wa kuchezea amani yetu ana stahili au wanastahili kuchakazwa vilivyo ili iwe fundisho kwa wengine.
Hizo rasilimali wanazotumia polisi kuzuia mikutano ya CHADEMA ndio zinazoongeza matumizi ya kawaida ya serikali badala ya matumizi ya maendeleo maana utakuta polisi hawana hata nyumba za kuishi au wastaafu wao hawalipwi mafao yao kwa wakati kumbe hiyo pesa Inatumika kugharamia upuuzi Kama huoSegerea ni makazi ya majambazi wastaafu. Active Majambazi wako Kinyerezi mpaka Mfuru.
Ilikuwa lazima khali ibadilike Nyani! Wewe unafikiri nafasi ya mapambio tungeendelea nayo si mnesema tumeolewa, na kadhalika na kadhalika?! If you are not in power better be behind bars!Hongera Rais Samia!
Endelea kuupiga mwingi.
Ccm kwisha kabisaHii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Hivi wewe hujiulizi tu mbona NCCR hawana vurugu??Hapo CCM meno yote nje wakichekelea uhalifu unaofanywa na POLISI,hivi Tanzania ipo katika vita?Tumekuwa tukiambiwa Hali ni shwari na sisi ndiyo kisiwa cha amani duniani.Matendo ya Jeshi letu ni uvunjifu wa dhahiri wa Haki za RAIA kujumuika(CHADEMA) ndiyo wahanga number 1.
Bila kudai Katiba ya Wananchi tumekwisha,tutalia ukali kila leo.
Polisi hawana kazi zaidi ya kupambana na vyama vya siasa huku likiacha watu wanalipishwa hela za sungu sungu eti kisa vibaka wapo mtaani....Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Chadema inaogopwa kuliko coronaKama ni kweli hawa wanaenda kupambana na Chadema basi hao Chadema ni kweli wanatisha...
Mbona unazungumzia vitu vikubwa, sare zenyewe ni majanga. Unakumbuka Wakati flani tuliambiwa Kuna watu wanaazimana uniform.Hizo rasilimali wanazotumia polisi kuzuia mikutano ya CHADEMA ndio zinazoongeza matumizi ya kawaida ya serikali badala ya matumizi ya maendeleo maana utakuta polisi hawana hata nyumba za kuishi au wastaafu wao hawalipwi mafao yao kwa wakati kumbe hiyo pesa Inatumika kugharamia upuuzi Kama huo
Tanzania nchi ya ajabu sanaMbona unazungumzia vitu vikubwa, sare zenyewe ni majanga. Unakumbuka Wakati flani tuliambiwa Kuna watu wanaazimana uniform.