Bado hujajibu hoja ya nyie kususa kila jambo. Hata la kuomba dhamana mnapokamatwa na polisi nalo mlishasusa. Maandamano ya barabarani kama ilivyokuwa kawaida yenu huko nyuma, mlishasusa singu nyingi. Hata haya maandamano yenu ya kwenye mitandao ya kijami kama Jf yanakaribia mwisho, wengi wenu wameshayasusa. Mmebaki watu msiozidi 10.nilishakufahamu kitambo sana , hilo ulijue , hatuingii mitandaoni kibwege
Acha bange lete factsUmesahau ulivyokuwa unamponda JPM na alipoingia Samia ukademka kweli na sasa niwape pole tu maana niliwaambia hapa JF. Nakuletea uzi
Ukiona mtu anatukana katika mijadala, jua ameishiwa na hoja na ni wa kuogopwa kama ukomaAcha bange lete facts
hatogombea chochote 2025mama ushungi kachachamaa na chadema .. asijisahau 2025 ni karibu tu hapo watakuja kumfunua
Hahahahaha samahani sikua na maana mbaya, nilikasirika kidogo baada ya kuendelea kunihusisha na CCM. My apologyUkiona mtu anatukana katika mijadala, jua ameishiwa na hoja na ni wa kuogopwa kama ukoma
Udikteta unazidi kupamba moto Tanzania.Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za CCM kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya CCM kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya CCM yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Updates
=======
View attachment 1878991
Siwezi kusema hayo,maana nawafahamu NCCR Mageuzi ni wapinzani.Nao pia waliwahi kupata mateso kama wanayopitia CHADEMA kipindi kikiwa na nguvu zake enzi za Agustin Mrema.CCM waliwatenda maovu hadi wakatepeta na Mh.Mrema akawakimbia ndipo walipokosa zile nguvu zao asilia.Ila bado wapo vizuri kwenye hoja na wanaenda vizuri Bali siyo tishio kwa CCM kama ilivyo CHADEMA leo.Hivi wewe hujiulizi tu mbona NCCR hawana vurugu??
Najua jibu utakalokuja nalo ni NCCR sio wapinzani.
Ila serious mkuu, jiulize why kila siku CDM??
Mimi nilikuhusisha na CDM na wala si CCMHahahahaha samahani sikua na maana mbaya, nilikasirika kidogo baada ya kuendelea kunihusisha na CCM. My apology
Samahani sana! Let's move on!Mimi nilikuhusisha na CDM na wala si CCM