Ma ccm yenyewe yanawaza matumbo yao tu.
Mchuma janga ula na wa kwao, hao vijana ndio hivyo tena....wanaenda kula ugali wa bure huku Maalim Seif akiendelea kula penshen yake na marupurupu kutoka serikalini, na si ajabu akapewa ile nafasi yake ya makamu wa kwanza wa rais, vijana acheni kutumika kama mipira ya kiume...!
ACT Wazalendo kama ilivyo Chadema imejaa Maafisa Vipenyo wengi sana!
Kama unawataka hao, chama cha majizi ndiyo kwao.
Wanasiasa wahuni wako huko ccm wakina Gwajima.ACT Wazalendo kama ilivyo Chadema imejaa Maafisa Vipenyo wengi sana!
Mazrui ndio Engine ya ACT Visiwani miaka ya karibuni, Maalim amekuwa kama bomba la moshi la kutolea hewa chafu baada ta engine kuchakata fuel
Baada ya kukamatwa Mazrui mikakati yote ya ACT ikiwemo ya ki stratejia inekufa kwa muda hadi aachiwe na Maalim katepeta kabisa
Nmewahi kufika kwake Mazrui kule Bububu Znz (alitupa Mkopo kwny kikundi chetu usio na riba wala dhamana) ukiachana na mambo ya Siasa ni tajiri Muungwana sana ambae kwenye Compound yake ana nyumba nyingi ambazo wanakaa wenye mahitajo wanaokula na kunywa kwa gharama zake bila ya kujali ana undugu nao au ujamaa wa karibu
Watu wake wa karibu wangemshauri aachane na Wanasiasa wahuni
Wakatoe taarifa hao maafisa vipenyo kwamba ijumatatu tunaandamana nchi nzima.Kazini kwa Balozi ni nje ya nchi anayoiwakilisha
Maafisa kipenyo wa kudhibiti vurugu wengi wametupwa Upinzani
Unasubiriwa kwa hamu.Ma ccm yenyewe yanawaza matumbo yao tu.
Waache waigize tuwaonyeshe maigizo yao yatakapowapeleka, hii chuki waliyoipandikiza ghadhabu imefika kooni na Wallah naapa wajiandae jumatatu vyuma vinaingia dodoma, tutawapiga pigo kuuJeshi la Polisi la Zanzibar limekiri kumshikilia Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Bw. Nassor Mazrui na vijana wengine 33 wakiwatuhumu kuwa na mabomu na kushiriki harakati mbalimbali za kuingilia mchakato wa Uchaguzi usiku wa tarehe 28/10/ 2020
View attachment 1616561
View attachment 1616562
View attachment 1616563
View attachment 1616564
We ni mjinga sana, unatakiwa uelimishweMchuma janga ula na wa kwao, hao vijana ndio hivyo tena....wanaenda kula ugali wa bure huku Maalim Seif akiendelea kula penshen yake na marupurupu kutoka serikalini, na si ajabu akapewa ile nafasi yake ya makamu wa kwanza wa rais, vijana acheni kutumika kama mipira ya kiume...!