Polisi zuieni Mkutano ulioitishwa na viongozi wa Yanga waliovuliwa uongozi na Mahakama, hawatambuliki kama viongozi halali

Naunga mkono hoja ...ova
 
Sahihi
 
Makolo acheni ushabiki, huko kwenu ndio katiba imesiginwa kabisa,🤣🤣,mtu mmoja anaamua lolote hata bila ridhaa ya wenye chama😡 mara kampuni mara katiba
 
Pia anatakiwa achie ile nafasi nyingine aliyopewa CUF...nilijua tu maana huyu Hersi anatabia za kujipendekeza na umbea..mnakumbuka alienda kumuambia rais wa FIFA eti kaifunga Simba sc tano..huyu jamaa anatabia za kike na za kichawi ni mkxndu aisee
CUF ❌❌❌
CAF ✅✅✅
 
Siasa za kishamba kila siku tunaziongelea. Acha watu wapate uhuru wa kutoa Mawazo na Maoni yao.

Binadamu always mnapenda kusikiliza kile kinachowapa furaha, Lakini unatakiwa kujua kila kitu kina feminine na Masculine; Ukiunganisha hasi na Chanya Unapata Mwanga.

JIONGEZE MBWA WW
 
Hahah kweli makolo wanarukwa ukuta sio kwa maumivu mnayopitia, endeleeni kujitikisa ukuni uwaingie vizuri.
 
Habari za Chadema na Mbowe ndio unazozielewa huku hujui lolote mbumbumbu.

Yanga ni timu ya serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…