Kwa muundo huo,ameonyesha umma kuwa.Hata yeye hajui anachokipigania katika siasa.
Amwachie mwanaharakati,aache mara Moja Um7,Ugadafi,Ukagame,Umgabeluzim.
Hivyo basi uongozi Bora ktk taasisi ni kupokezana vijiti.
TL anahoja na asikilizwe na achaguliwe na sio ateuliwe.
Mabadiriko,ili kupata mawazo mapya.Mbowe sio Mungu Over.