Political Timing: 2015 Mbowe alimlia timing Dr Slaa Kwa kumleta Lowassa this time Yeye ndio kaliwa timing analia " imekuwa ghafla mno"

Political Timing: 2015 Mbowe alimlia timing Dr Slaa Kwa kumleta Lowassa this time Yeye ndio kaliwa timing analia " imekuwa ghafla mno"

Hebu jaribu kuimagine aliyepost hii ni Lissu ila kwa kuwa tunatumia fake id ni ngumu kumjua hahahahah Dunia hii
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Baada ya tarehe 21 Mropokaji analiwa kichwa kwa kuwazushia uongo viongozi wenzake.
 
Kwa muundo huo,ameonyesha umma kuwa.Hata yeye hajui anachokipigania katika siasa.
Amwachie mwanaharakati,aache mara Moja Um7,Ugadafi,Ukagame,Umgabeluzim.
Hivyo basi uongozi Bora ktk taasisi ni kupokezana vijiti.
TL anahoja na asikilizwe na achaguliwe na sio ateuliwe.
Mabadiriko,ili kupata mawazo mapya.Mbowe sio Mungu Over.
 
Back
Top Bottom