Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipoangalia hata ubunge hapatiHana nia njema huyo.
Nia njema ni kujaza tumbo lake, mambo mengine mtajijua wenyewe.
Baada ya tarehe 21 Mropokaji analiwa kichwa kwa kuwazushia uongo viongozi wenzake.Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa
Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega
Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"
Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu
CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Mtajuana Wenyewe sisi CCM tumerekodi Kila sentenso 😂😂Baada ya tarehe 21 Mropokaji analiwa kichwa kwa kuwazushia uongo viongozi wenzake.