Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliangalia ile interview yake na Kikeke alikuwa anaonyesha ana hofu fulani kwani ule ujasiri wake uliozoeleka umepotea ghafla yaani ni kama mgonjwa aliyepewa taarifa za ugonjwa hatari na daktari wake.Ukweli kabanwa
Mbowe ni mjanja Sana, kakutana na mjanja mwenzie, anamzuia lissu kutia Nia huku alijifanya yeye Hana Nia, kumbe alikuwa na mpango kutafuta mgombea wa kukodi Tena kama lowasa mwaka 2015, Lissu ni mjanjaNiliangalia ile interview yake na Kikeke alikuwa anaonyesha ana hofu fulani kwani ule ujasiri wake uliozoeleka umepotea ghafla yaani ni kama mgonjwa aliyepewa taarifa za ugonjwa hatari na daktari wake.
Lissu hajawahi kuwa TLP, alitokea NCCR Mageuzi. Lissu haondoki Chadema hili tifu litaisha baada ya uchaguzi japo itakuwepo kazi ya kuganga majeraha.Kijana, unajua maana ya kuliwa wewe? Umri wako bado nigekujuza.
asa ni hivi CDM haifi na jamaa yenu anarudi TLP chama kilichomkuza Na taarifa ni kwanba kashaanza kuongea na uongozi uliopo ili waipokee sunami toka CDM.
Kifupi, bora hata Dr. alitumia akili walau kidogo wakati anachukua zile hela za kuimaliza CDM
Ashinde tu mbowe kwa sababu moja Tu hasapot mashoga,huyu lissu hafai kabisaMbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa
Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega
Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"
Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu
CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Mbowe kajivunjia heshima sana kwa kuwasikiliza wapuuzi kama Yericko Nyerere na Ntobi.Mbowe ni mjanja Sana, kakutana na mjanja mwenzie, anamzuia lissu kutia Nia huku alijifanya yeye Hana Nia, kumbe alikuwa na mpango kutafuta mgombea wa kukodi Tena kama lowasa mwaka 2015, Lissu ni mjanja
Lema sio kweli acha uwongo aiseeAcha ukabila kuna wachaga wengi sn wanamtaka Lisu, hata Anania Nkya anamtaka Lisu + Lema
Ukosefu wa elimu ina jinsi ya kujitokeza na kwa mzee mbowe hii imejitokeza wazi kabisaMbowe kajivunjia heshima sana kwa kuwasikiliza wapuuzi kama Yericko Nyerere na Ntobi.
Sawa huko huko alikokulia ndiyo anarudi, si kaamua kumwaga upupu kambini.Lissu hajawahi kuwa TLP, alitokea NCCR Mageuzi. Lissu haondoki Chadema hili tifu litaisha baada ya uchaguzi japo itakuwepo kazi ya kuganga majeraha.
😂😂😂😂Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa
Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega
Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"
Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu
CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Lissu yupo sana Chadema,najua ni prayer kubwa ya CCM Lissu aondoke Chadema.Sawa huko huko alikokulia ndiyo anarudi, si kaamua kumwaga upupu kambini.
Ila lisu kiboko sana hahahhaha. Kaona acha tuone mwisho hii nimeikubali. Aliye juu mfuate huko hukoMbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa
Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega
Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"
Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu
CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Kisasi cha 2015 😂😇😅😂🤣 Dr.Slaa behind the scenes anaratibu anguko la Sultani Mbowe, akuanzae mmalize😆
Upo sahihi.Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa
Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega
Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"
Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu
CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Hana nia njema huyo.Mbowe kama ana nia njema na CHADEMA ni bora ajitoe watu wamemdharau sn
Mbowe alijiona mjanja Makamanda tunakomaa Makamanda wanauwawa yeye anasema kunja ngumi kumbe huko gizani anakula RUSHWA ya mabilioni.Kisasi cha 2015 😂
Mpandie mwenye mbwa....mpige mwenye mbwa🤣Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa
Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega
Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"
Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu
CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂