Political Timing: 2015 Mbowe alimlia timing Dr Slaa Kwa kumleta Lowassa this time Yeye ndio kaliwa timing analia " imekuwa ghafla mno"

Political Timing: 2015 Mbowe alimlia timing Dr Slaa Kwa kumleta Lowassa this time Yeye ndio kaliwa timing analia " imekuwa ghafla mno"

Niliangalia ile interview yake na Kikeke alikuwa anaonyesha ana hofu fulani kwani ule ujasiri wake uliozoeleka umepotea ghafla yaani ni kama mgonjwa aliyepewa taarifa za ugonjwa hatari na daktari wake.
Mbowe ni mjanja Sana, kakutana na mjanja mwenzie, anamzuia lissu kutia Nia huku alijifanya yeye Hana Nia, kumbe alikuwa na mpango kutafuta mgombea wa kukodi Tena kama lowasa mwaka 2015, Lissu ni mjanja
 
Kijana, unajua maana ya kuliwa wewe? Umri wako bado nigekujuza.
asa ni hivi CDM haifi na jamaa yenu anarudi TLP chama kilichomkuza Na taarifa ni kwanba kashaanza kuongea na uongozi uliopo ili waipokee sunami toka CDM.

Kifupi, bora hata Dr. alitumia akili walau kidogo wakati anachukua zile hela za kuimaliza CDM
Lissu hajawahi kuwa TLP, alitokea NCCR Mageuzi. Lissu haondoki Chadema hili tifu litaisha baada ya uchaguzi japo itakuwepo kazi ya kuganga majeraha.
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Ashinde tu mbowe kwa sababu moja Tu hasapot mashoga,huyu lissu hafai kabisa
 
Mbowe ni mjanja Sana, kakutana na mjanja mwenzie, anamzuia lissu kutia Nia huku alijifanya yeye Hana Nia, kumbe alikuwa na mpango kutafuta mgombea wa kukodi Tena kama lowasa mwaka 2015, Lissu ni mjanja
Mbowe kajivunjia heshima sana kwa kuwasikiliza wapuuzi kama Yericko Nyerere na Ntobi.
 
Lissu hajawahi kuwa TLP, alitokea NCCR Mageuzi. Lissu haondoki Chadema hili tifu litaisha baada ya uchaguzi japo itakuwepo kazi ya kuganga majeraha.
Sawa huko huko alikokulia ndiyo anarudi, si kaamua kumwaga upupu kambini.
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
😂😂😂😂
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Ila lisu kiboko sana hahahhaha. Kaona acha tuone mwisho hii nimeikubali. Aliye juu mfuate huko huko
 
😇😅😂🤣 Dr.Slaa behind the scenes anaratibu anguko la Sultani Mbowe, akuanzae mmalize😆
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Upo sahihi.
 
Mbowe alidhani akitumia ile Mbinu yake ya kidalali ya kubadilisha GIA angani na kumleta Wenje agombee umakamu Mwenyekiti Ili Tundu Lisu akimbie chama kama alivyokimbia Dr Slaa 2015 baada ya kumletea Lowassa

Alisahau kuwa Tundu Lisu ni Taasisi na sasa imemlia yeye timing na kumpandia huko huko Kwenye Alfa na Omega

Mbowe analia machozi na kuweweseka " imekuwa ghafla Mno"

Chadema inakufa kwa sababu Mbowe alimuunderate Lisu

CCM ni furaha na kurukaruka 😂😂
Mpandie mwenye mbwa....mpige mwenye mbwa🤣
Lissu anajua na anajua tena
 
Back
Top Bottom