Wadau salamu zenu, hii ndiyo sehemu ya kwanza ya kanda anavosimulia mradi wa kuhifadhi msitu wa mau mgombeaji urais prof ole Kiyapi. Anaelezea jinsi wanasiasa waliingilia mradi aliyobuni na kuingiza siasa ndani. Tazameni na tuweze kupata maoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.