Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wajinga kama Chalamila hawajui athari ya ujinga wanaoufanya.... Samia chunga sana hii, itakugeuka in the long run! Utafika wakati watatamani urais, uwaziri and the like! waache wanajeshi wakae kambini.
Tabia hujengwa taratibu na baadaye kuwa mazoea,,,,
Shyster politicians kama Chalamila ni wa kudharau!
Viongozi wajinga kama Chalamila hawajui athari ya ujinga wanaoufanya.... Samia chunga sana hii, itakugeuka in the long run! Utafika wakati watatamani urais, uwaziri and the like! waache wanajeshi wakae kambini.
Tabia hujengwa taratibu na baadaye kuwa mazoea,,,,
Shyster politicians kama Chalamila ni wa kudharau!
Nimeandika umu kuwa chadema washike fagio waungane na wanajeshi wafanye usafi. In so doing wataongea mengi ya nchi yetuVipi Chadema tarehe 23 na 24 January 2024 wakishirikiana na wananchi wengine pamoja na jeshi kufanya usafi pamoja na kuelewana kisha maandamano wakasogeza mbele?
Hiyo si ni kuitisha kikao cha kujadili maandamano yafanyike lini na yaweje?
---
Vipi Chadema tarehe 23 na 24 January 2024 wakishirikiana na wananchi wengine pamoja na jeshi kufanya usafi pamoja na kuelewana kisha maandamano wakasogeza mbele?
Hiyo si ni kuitisha kikao cha kujadili maandamano yafanyike lini na yaweje?
---
Samia na CCM wanaulea mtindo wa kutumia JESHI kushughulikia matatizo ya kisiasa yanayoletwa na CCM.... Samia chunga sana hii, itakugeuka in the long run! Utafika wakati watatamani urais, uwaziri and the like! waache wanajeshi wakae kambini.
Tabia hujengwa taratibu na baadaye kuwa mazoea,,,,
Shyster politicians kama Chalamila ni wa kudharau!