Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Hii ndio thread itakayomaliza ubishi kati ya hawa wanamuziki wawili.
Chagua msanii unayemkubali kisha vote.
Team zote mbili karibuni sana
Created by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)[/QUOTE
Kwani ni nani kati yao Mwenye tuzo nyingi za kitaifa na kimataifa?hope diamond ni zaidi,otherwise cjui mnaangalia vigezo vipi
King kiba
vepeee umevote kweli maana naona mna kura 2 pwilo njoo uvote hata kiba achukue huu ushindi @shardcole hongera kwa kuvote
Nilijua ushaachaga umbea kumbe bado unaendelea nao? Unakua mwili na umri tuu lakini akili zimegoma kukuaa!
Haaah umekuwa adimu Sana ndo upo bize na siasa