Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
Odinga ana umri wa miaka 72 sasa
Bila shaka odinga amekuwa katika siasa za Kenya kwa muda mrefu sana.
Amesimama urais zaidi ya mara tatu na akashindwa kila wakati
Is this a sign that he should just give up his ambitions for the presidency at last and let other people try?
2013 ali simama urais na Kenyatta na akabwagwa
2017 wakenya walidhani kuwa atampisha Kalonzo awe mgombea urais ila haikufanyika.
2017 inaonekana kuwa bado amepoteza hata kama bado matangazo rasmi toka IEBC hayajafanywa.
Je, unadhani ni wakati Odinga ajiuzulu ktk siasa za Kenya?
please cast ur vote in the poll above..Yes or No answers please....you can follow up with a short comment afterwards...
Five things Raila Odinga said during his CNN interview
Bila shaka odinga amekuwa katika siasa za Kenya kwa muda mrefu sana.
Amesimama urais zaidi ya mara tatu na akashindwa kila wakati
Is this a sign that he should just give up his ambitions for the presidency at last and let other people try?
2013 ali simama urais na Kenyatta na akabwagwa
2017 wakenya walidhani kuwa atampisha Kalonzo awe mgombea urais ila haikufanyika.
2017 inaonekana kuwa bado amepoteza hata kama bado matangazo rasmi toka IEBC hayajafanywa.
Je, unadhani ni wakati Odinga ajiuzulu ktk siasa za Kenya?
please cast ur vote in the poll above..Yes or No answers please....you can follow up with a short comment afterwards...
Five things Raila Odinga said during his CNN interview