Poll: Trump kamgaragaza Kamala Harris kwa 78% kwa zaidi ya kura milioni 1 huko X (Twitter)

Poll: Trump kamgaragaza Kamala Harris kwa 78% kwa zaidi ya kura milioni 1 huko X (Twitter)

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Updated - Kura zaidi ya milioni 4 na laki 3 zimepigwa

TRUMP ANAONGOZA KWA ASILIMIA 74

1724243504599.png



Pia soma: LIVE - Yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?
 
Hata mimi ninempigia Trump kura yangu kwenye page ya Elon Musk. Democrats wametchosha na vita vya Ukraine, Israel, Sudan, DRC na sasa walikuwa wanataka kuanzisha Venezuela
 
Ulitegemea nini toka kwa Elon Musk?
Elon Musk atumie ushawishi wake alionao kuwahamasisha wamarekani wampigie kura kwa wingi Donald Trump ( m'beba maono ya dunia) kuwa rais ajaye wa marekani.
 
Kama hilaly Clinton pamoja backup kubwa ya mumewe kushindwa sio dalili za kamala kutoboa
 
Back
Top Bottom