Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Itakuwa nimechanganya majina. Kwenye lile vuguvugu la uchaguzi kwenye ile mada alikuwepo mtu mbishi akiambiwa trump anapita yeye alikuwa anakataa na ni ID maarufu humuKwa ufahamisho tu Nyani Ngabu alikuwa ni shabiki wa Trump na hadi leo hajabadilisha msimamo wake huo!