Alafu huku afrika wanataka tuongozwe na wanawakeMarekani iko tayari kuongozwa na nyani lakini si MWANAMKE
Wapo akina Nyani Ngabu awamu ya kwanza trump alipokuwa anagombea walishupaza shingo sana na kudhani mwanamke angekalia kiti. Ngoja tuone awamu hii tenaMarekani iko tayari kuongozwa na nyani lakini si MWANAMKE
Elon Musk atumie ushawishi wake alionao kuwahamasisha wamarekani wampigie kura kwa wingi Donald Trump ( m'beba maono ya dunia) kuwa rais ajaye wa marekani.Ulitegemea nini toka kwa Elon Musk?
Wasije wakamvua uraia; ni m-SA yule! Loh! Kumbe isn't a shithole!Ulitegemea nini toka kwa Elon Musk?
Mwenyewe anajiita black American nowadays! Kaukana uhindi kwa muda.Sidhani kama wamarekani watakubali kuongozwa na mhindi
Stupid as stupid does. Mtu amesema ni super UNSCIENTIFIC poll wewe unaiweka kama vile ni kitu cha kuaminika. Musk mwenyewe anajua thika kuwa Trump hawezi kumshinda Kamala kwa 78 to 22 lakini sycophants kama wewe mnaamini hivyo!
Hata mimi wa Msangangongele nilijiuliza hiloUlitegemea nini toka kwa Elon Musk?
Trump hawezi kuwa rais.Trump ndiye m'beba maono ya dunia na rais ajaye wa marekani.
Kupika ndio kazi inayomfaa mwanamke .