Polysistic Ovarian Syndrome: Kwa mwanamke anayetafuta mtoto

Polysistic Ovarian Syndrome: Kwa mwanamke anayetafuta mtoto

Hornet naomba kuwasiliana na wewe nina tatizo la uzazi pia. Nimejaribu kukupm ila nashindwa
 
ukibabaika hutapata jawabu''kiswahili nikigumu sana kwangu endelea kunikosoa ahasante sana
 
Habari wana JF,

Kwa mwanamke ambaye hajawai kupata mimba kabisa,siku zake za hedhi hazina mpangilio maalumu na amegundulika kitaalamu ana Polysistic ovarian syndome(vivimbe vidogo vidogo kwenye ovaries).

Je anaweza kufanyaje ili apate mimba haraka?Hospitali wanampa dawa ila tatizo bado liko pale pale, kwa sasa anatibiwa mkoani Arusha ila anatamani sana kupata ata tiba mbadala kwa ajili ya kuweza kupata ujauzito ndoa iko mashakani.

Na pia chakula gani anaweza kula kufanya awe na uwezo mkubwa wa kuweza kupata ujauzito?

Asanteni
Akiataka dawa za kutibu Maradhi yake kwa kutumia Utibabu wa Tiba Mbadala bila ya kufanya Operesheni Dawa mimi ninazo anaweza kunitafuta kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 
Mke wangu anasumbuliwa na tatizo la PCOS amepita hospital nyingi hapa mjini wanampa dawa tu ameshameza mwaka nne.

Wadau nin solution ya hii kitu wenye experience na hili tatizo.
 
Wanakuja madoctor.,..pole sana ila hlo tatizo huwa linawapata ke walioko ktk umri wa kuzaa...na linaisha lenyewe
 
ana mtoto/watoto?
mpeleke kwa madaktari bingwa wa wamama watakupa ushauri wa maana.
 
Back
Top Bottom