Polysistic Ovarian Syndrome: Kwa mwanamke anayetafuta mtoto

Hornet naomba kuwasiliana na wewe nina tatizo la uzazi pia. Nimejaribu kukupm ila nashindwa
 
ukibabaika hutapata jawabu''kiswahili nikigumu sana kwangu endelea kunikosoa ahasante sana
 
Akiataka dawa za kutibu Maradhi yake kwa kutumia Utibabu wa Tiba Mbadala bila ya kufanya Operesheni Dawa mimi ninazo anaweza kunitafuta kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 
Mke wangu anasumbuliwa na tatizo la PCOS amepita hospital nyingi hapa mjini wanampa dawa tu ameshameza mwaka nne.

Wadau nin solution ya hii kitu wenye experience na hili tatizo.
 
Wanakuja madoctor.,..pole sana ila hlo tatizo huwa linawapata ke walioko ktk umri wa kuzaa...na linaisha lenyewe
 
ana mtoto/watoto?
mpeleke kwa madaktari bingwa wa wamama watakupa ushauri wa maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…