winston20
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 1,116
- 2,303
Pombe sio supu,cheki hawa..!!
Jamaa wawili walikuwa wanakunywa Bar wakaanza kuongea:-
Jamaa1: Unajua mzee wangu ni Polisi?
Jamaa 2: Weee kweli!? Hata mimi mzee wangu ni Polisi!
Jamaa 1: John is my last name.
Jamaa 2: (Akashangaa): Wow! Hata mimi My surname ni John!.
Jamaa 1: I'm 19 years old
Jamaa 2: What?. Usiniambie aisee!
(Akicheeka), I'm 19 years old too.
Jamaa 1: Usiniambie umezaliwa on the 13th of March na ukasoma Songea boyz?.
Jamaa 2: Yes! Nimezaliwa. 13th of March... Usiniambie naota maana nimesoma Songea Boy.
** Wakakumbatiana na huku wakilia...
Jamaa mmoja akashangaa sana akamuuliza mhudumu:-
"Kuna tatizo gani na hawa vijana?"
Mhudumu: "Hawa ni watoto wa Afande John, ni mapacha sema wamelewa sana!".
Jamaa wawili walikuwa wanakunywa Bar wakaanza kuongea:-
Jamaa1: Unajua mzee wangu ni Polisi?
Jamaa 2: Weee kweli!? Hata mimi mzee wangu ni Polisi!
Jamaa 1: John is my last name.
Jamaa 2: (Akashangaa): Wow! Hata mimi My surname ni John!.
Jamaa 1: I'm 19 years old
Jamaa 2: What?. Usiniambie aisee!
(Akicheeka), I'm 19 years old too.
Jamaa 1: Usiniambie umezaliwa on the 13th of March na ukasoma Songea boyz?.
Jamaa 2: Yes! Nimezaliwa. 13th of March... Usiniambie naota maana nimesoma Songea Boy.
** Wakakumbatiana na huku wakilia...
Jamaa mmoja akashangaa sana akamuuliza mhudumu:-
"Kuna tatizo gani na hawa vijana?"
Mhudumu: "Hawa ni watoto wa Afande John, ni mapacha sema wamelewa sana!".