Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,981
- 3,604
Kweli aisee! Maisha yafaa nini bila pombe? Tunywe jamaniImeandikwa "wafalme wasinywe pombe wakasahau majukumu yao, bali wapeni masikini pombe wanywe wasahau shida zao"
Tunyweni jamani tunywe
Asprin unakumbuka huu mstari?
Hakika maisha hayafai kitu, nafarijika kuona masikini tumepewa kibali cha kunywa ili tusahau shida zetuKweli aisee! Maisha yafaa nini bila pombe? Tunywe jamani
Unanikumbusha kangara, chibuku, rubisi, kangara, kwete, Mnanasi, choya na nyingine nyingi. Ijulikane Evelyn Salt wakati wa wafalme, pombe ilitumika kama kitu cha kumvutia na kumpelekea mfalme. Kama pombe yako nzuri unapewa shamba na ananyang'anywa jirani yako. Was it fare? Tuombe yasirudi maana tutajikuta watu tunaishi chini ya mawe. Pombe inaoza, inazika, inaomboleza, inakaribisha wageni na watoto wazaliwao huwa wanapewa angalao kijiko kuua minyoo. Nini kama our presider!!!!!Hakika maisha hayafai kitu, nafarijika kuona masikini tumepewa kibali cha kunywa ili tusahau shida zetu
Sifa kwake eeeh kristuNa hili ndilo neno la mungu.....
Amina mama....hahaaa @EvelynSalt nakuomba tukanywe hata shots mbili tu.
Kunywa maji upate typhoidBinafs cmshaur mtu kunywa pombe, pombe adui wa maendeleo kabisa. Pombe inaleta ushawish wa ngona na matumizi mabaya ya pesa na hasa ukiwa na company mbovu. Acha pombe kunywa maji