Kwa nini ukimbilie huko kwenye mijipombe? lazima utakuwa una mapungufu, halafu kero anayoipata mwenzio kwa mijiharufu ya pombe wewe hufahamu tu naomba FL1 au VC wathibitishe hapa. Kuna jamaa mmoja alikuwa anapenda sana kumtisha demu wake kwamba leo umekwisha ukija hurudi kwenu si unajua majigambo ya sisi wanaume, akilini kwa mwanaume anadhani akinywa konyagi au hizo mnazozitaja demu akija ni kudo kwa bidii na kuchelewa kufika kileleni ndo unakuwa umemtesa/umemridhisha demu au wewe ndo rijali au wewe ndo fundi wa tendo hilo KUMBE AKILINI KWA MWANAMKE anawaza leo jamaa nikifika ataanza na kwa romance mara kashika hapa mara pale, kachezea hapa, kageuza hivi kanyonya hiki eeenh caress ya taratiiiibu maneno matamu, compliments kwa sana eeenh nguao zinatolewa taratiiibuu moja moja mpaka mtoto wa watu anapotea kwenye mahaba anakuwa yupo dunia nyingine sasa hapo mambo mengine yanaendelea KUMBE huyo jamaa yeye demu akija akishamsaula/wakisaula kwa sababu ya drive ya MAPOMBE yake anachojua ni penetration tuuu na bidii kwa sana tena na akimaliza basi anakoroma tuuuuuu hahahaha WENZETU HAWA JAMANI WANAHITAJI tender care na si mijinguvu na mijipombe tunayotambia hapa. kwangu pombe inaniharibia stimu kwa sababu nimeshazoe ku do kwa nafasi ya namna hii. huwa mwenza wangu haishi kuuomba tena na tena.