Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,089
- 1,468
Wazee wa mabapa[emoji23][emoji23][emoji23]Mwigulu alisema eti amefanya hivyo ili kulinda maini yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa mabapa[emoji23][emoji23][emoji23]Mwigulu alisema eti amefanya hivyo ili kulinda maini yenu
Kuna nn leoWakuu ibukeni Kitambaa cheupe 02 Kinondoni... Huku pashakucha ...Swala la Bei tutadiscuss siku nyingine ..Issa w/end...Tunairudisha Kino kwenye ramani.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Huko zipo fursaza ziada,kwani ukitaka hata gongo unapata na zile nyingine laini laini,town hakuna hizo fursa.Kama kichwa cha habari kinavyosema!
Hivi wanyaji wa bia na pombe kari tunaibiwa au? Maana pombe kali zishapanda bei ila bia Zimebaki pale pale shida iko wapi? Au mi kwa sababu niko uku ruvuma?
TRa
Tbs
OSHA
Wateja
TUPAZE SAUTI
TANZANIA NI YETU
Sio pamoja na zile za too za miamala na mazuio ya kuidai katiba mpyaHahahah huku kwenye bia wasilete utoto hii ndio sehemu tunayoondolea stress za wake zetu,,,chondechonde sana!