Wakuu ibukeni Kitambaa cheupe 02 Kinondoni... Huku pashakucha ...Swala la Bei tutadiscuss siku nyingine ..Issa w/end...Tunairudisha Kino kwenye ramani.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hivi wanyaji wa bia na pombe kari tunaibiwa au? Maana pombe kali zishapanda bei ila bia Zimebaki pale pale shida iko wapi? Au mi kwa sababu niko uku ruvuma?