Uchaguzi 2020 Pombe Magufuli amnadi Ezekia Wenje(CHADEMA) akidhani ndiye Mgombea wa CCM

Uchaguzi 2020 Pombe Magufuli amnadi Ezekia Wenje(CHADEMA) akidhani ndiye Mgombea wa CCM

Kichekesho kimetokea kwa Mheshimiwa Magufuli alipokuwa anapiga kampeni mjini Musoma.

Bila kujua akajikuta ana mpigia kampeni Ezekia Dibogo Wenje kuchaguliwa kuwa mbunge wa Rorya akidhani ndio jina la mgombea wa CCM.

Hii inatokana na jina la Wenje kumtesa moyoni. Mgombea wa CCM anaitwa Jafari Wambura Chege

Ezekia Wenje aliwahi kuwa Mbunge wa Nyamagana 2010-2015 Jijini Mwanza
View attachment 1560691
Huyu ndiye rais ninayeona yuko disorganised and unwell informed. Hii si mara ya kwanza kujichanganya na kwasababu amemount mamlaka yote, wengine wanakosa nafasi ya kumkosoa wanabaki wakimsifia hata kwa maujinga anayofanya.
Ukweli upo hata moyoni kwa wanaccm wenyewe kuwa chama kimeshapoteza mvuto, kilichobaki ni kutumia nguvu.
Hatma ya kisiasa nchini ipo mikononi mwa vyama vya upinzani kukubaliana na CCm watakavyo au kureact against it baada ya election.
 
Kichekesho kimetokea kwa Mheshimiwa Magufuli alipokuwa anapiga kampeni mjini Musoma.

Bila kujua akajikuta ana mpigia kampeni Ezekia Dibogo Wenje kuchaguliwa kuwa mbunge wa Rorya akidhani ndio jina la mgombea wa CCM.

Hii inatokana na jina la Wenje kumtesa moyoni. Mgombea wa CCM anaitwa Jafari Wambura Chege

Ezekia Wenje aliwahi kuwa Mbunge wa Nyamagana 2010-2015 Jijini Mwanza
View attachment 1560691
Sawa tutamchagua Ezekiel
 
Back
Top Bottom