Ha ha ha haaaa.. Mzee Meko alifikiri kuwa Wenje naye kaunga mkono juhudi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha haaaa.. Mzee Meko alifikiri kuwa Wenje naye kaunga mkono juhudi...
Huyu ndiye rais ninayeona yuko disorganised and unwell informed. Hii si mara ya kwanza kujichanganya na kwasababu amemount mamlaka yote, wengine wanakosa nafasi ya kumkosoa wanabaki wakimsifia hata kwa maujinga anayofanya.Kichekesho kimetokea kwa Mheshimiwa Magufuli alipokuwa anapiga kampeni mjini Musoma.
Bila kujua akajikuta ana mpigia kampeni Ezekia Dibogo Wenje kuchaguliwa kuwa mbunge wa Rorya akidhani ndio jina la mgombea wa CCM.
Hii inatokana na jina la Wenje kumtesa moyoni. Mgombea wa CCM anaitwa Jafari Wambura Chege
Ezekia Wenje aliwahi kuwa Mbunge wa Nyamagana 2010-2015 Jijini Mwanza
View attachment 1560691
Sawa tutamchagua EzekielKichekesho kimetokea kwa Mheshimiwa Magufuli alipokuwa anapiga kampeni mjini Musoma.
Bila kujua akajikuta ana mpigia kampeni Ezekia Dibogo Wenje kuchaguliwa kuwa mbunge wa Rorya akidhani ndio jina la mgombea wa CCM.
Hii inatokana na jina la Wenje kumtesa moyoni. Mgombea wa CCM anaitwa Jafari Wambura Chege
Ezekia Wenje aliwahi kuwa Mbunge wa Nyamagana 2010-2015 Jijini Mwanza
View attachment 1560691
Unatetea uharo wakati sisi tuko vijijiniFix hiyo,toa location,picha ya longtime kitambo sana!!
Hahahahahaha nmecheka sana
Anawambia watu et "Bunda walijichanganya wenyeweeee kumchagua mpinzani"
Alafu jana alisema "maendeleo hayana chama"