Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
- Thread starter
- #41
Kuna jamaa langu likikolea mtindi linaanza mambo ya kisenge ,linaweza kuwaungia stori utasikia yule jamaa aliyekamatwa anampiga mashine Nguruwe Dodoma mnamjua? Wadau wakijibu hatumjui .Linanitaja mimi eti ndio huyu hapa ni rafiki yangu .Na mambo mengine ya kishenzi shenzi.
Nimecheka sana, hahahah hilo lijamaa jau kichizi