Senge hilo jamaa siku moja tumekula vitu likaniambia leo nakuibia kasiri kangu nimekaficha siku nyingi .Eti hivi unajua mimi zamani nilikua SHOGA.Tulikuwa na majamaa wacha wapanic nikawaaambia lizinguaji hilo nalifahamu vizuri .
Itakuwa ni kweliKuna jamaa siku moja kalewa akaanza simulia alikuwa anawalawiti wenzie unajua tukaanza shangaa eti walikuwa wanalala room moja
NdioooKabisa?
Halafu mlevi akiongea kitu ni cha ukweliKuna jamaa siku moja kalewa akaanza simulia alikuwa anawalawiti wenzie unajua tukaanza shangaa eti walikuwa wanalala room moja
Sometimes ni fix tu za pombe😂, pombe huendeleza ujinga mtu anaongea akiwa mzima,mfano,mimi nikilewa naongea ujinga kama ninao type humu JF😂Kuna jamaa siku moja kalewa akaanza simulia alikuwa anawalawiti wenzie unajua tukaanza shangaa eti walikuwa wanalala room moja
Hakuwa amelewa sana na sio utaniSometimes ni fix tu za pombe😂, pombe huendeleza ujinga mtu anaongea akiwa mzima,mfano,mimi nikilewa naongea ujinga kama ninao type humu JF😂
Huyo ni msenge,usimkaribishe hata kwako atabaka watoto,Hakuwa amelewa sana na sio utani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Miaka ya 2006 jomba alienda kuutwika. Karudi na kulala,
alfajiri imefika aende chooni sasa.
Room kulikuwa na monitor ipo sakafuni mjomba si akafananisha na sink la choo ..... Niliona akiwa anaikojolea Huku akisema afadhali leo choo kipo karibu.
Sasa si bora Bangi mkuu.. [emoji23][emoji23][emoji23]Mambo vipi wale vijana wote wenye maini na figo safi kabisa kwa utendaji kazi mwilini, lakini inakuaje wanangu wote wazee wa kamnyweso, wazee wa kula gambe, kula kilaji, kuuchapa mtungi na kumwagilia moyo. Dah, huko maeneo yetu (bar, clubs, vijiweni, vilabuni, mtaani) tukishaelewa tunakua na vituko na matukio mengi sana.
Haya ni baadhi ya matukio/vituko vya wanangu wakisha kula pombe (gambe).
1. Hahah kuna mwanangu mmoja siku hiyo tumekula pombe kufika mida ya nane usiku tukapoteana, kufika asubuh napigiwa simu jamaa kawekwa ndani kituo cha polisi, chap chap mpaka pale nilishangaa kuambiwa eti jamaa alienda kumchenjia askari flani pale pale kituoni usiku wa manane kisa eti askar anamfatilia demu wake, jamaa alikula kichapo mpaka alikua hawezi kutembea.
2. Kuna mwanangu yeye hata awe na millioni mfukoni, anakula bingwa au balimi tu, sasa akishakolea tu mtajuta mliekuja nae, anaenda kwenyemeza zingne na kuwaambia wadada "mmewaona wale jamaa pale (tuliokuja nae sasa) wamesema agizeni serengeti kadhaa wao watalipia.
Huyo mwanangu namba 2 akishakolea usimruhusu akatoka mezani, akitoka tu basi kuna mawili, wakaja wahudumu kukudai bill au akaja mdada akidai et umemuita.
3. Nina huyo mwanangu anakunywa pombe mara moja kwa mwezi, ila akienda tu kunywa lazma arudi home bila simu afu miguuni peku au kavaa kiatu kimoja.
Hapo wote hamjapiga nyagi bado ikakoleaa......ngoma ilikuaa nipo kimbokaa nakulaa nyagiii bapa mixer energydrink kuanzia saa saba mchana mpaka ngoma tisa usiku hapo gari za feli,msasani kkoo zinaanza kuamshaaa nikaona ngoja nikadake chuma cha gomz nishuke banana home....si nikapanda gar ya Chanika bana mbona nasikia kondaa oyaaa brooo hamka unashuka wapi.?,...eeh kwani tupo wapi mzeeee..!!huku natoa macho..konda chanika mwishoooo broooh.......kilichotokea hapo nikaona nichukue bodaboda chanika to banana ili nisipitilize mpaka kariako tenaaa
Jamaa hakuchomwa pabaya.Duuh, mkuu mbona hatar sana hyo. Ila ndo hivo ugomvi wa kwenye pombe hua haudumu.