Pombe sio chai: Matukio na vituko vyangu /wanangu wakishalewa pombe

Nimegundua hau wanao watatu ndio wanao tuharibia sifa nzuri ya pombe hapa Jf...
 
Nimegundua hau wanao watatu ndio wanao tuharibia sifa nzuri ya pombe hapa Jf...

kaka, sifa nzuri za pombe hazijawahi kuharibika, ni vile matokeo yake huwa na vituko sana sometimes
 
Kuna mwana akilewa ile tikatika ..utakuta anatulia kainamisha kichwa..akinyanyua kichwa juu ni kilio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28]
 

[emoji23][emoji23][emoji23] mbeya had bagamoyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna cku jamaa alifungua milango ya kabati la nguo chumbani akidhani anaingia choon na kuanza kukojoa.kweli pombe sio chai
 
Siku tumetoka na mdogo wetu mmoja wa kiume baada ya kulewa si akaanzisha jihad mule ndani anataka kutupiga mimi na bro, wakamtuliza washkaji tuliokua tumetoka nao. Baadae usiku mkali tumerudi ghetto na wale washkaji maana tuliona watapata shida ya usafiri usiku, basi nikampeleka dogo kitandani akalala na washkaji zetu wawili, washkaji wengine nikawapeleka chumba kingine wakalala na bro. Wakabaki watatu nikatoa godoro moja sebleni wakalala mimi nikalala kwenye sofa. Baadae dogo si akaamka katoka chumbani kaja sebleni kavua boxer akaanza kuwakojolea wale jamaa wamelala pale chini, jamaa mmoja ndio akaanza kumuita dogo anamwambia dogo " yani unanikojolea kweli" ila hawawezi hata kujigusa yani walikua wamelewa vibaya sana ndio mimi kushtuka ila dogo kashawaloanisha mkojo wa kutosha. Wale washakaji hua wanacheka sana wakikutana na dogo.
 

Hahahaha mambo ya pombe bhana
 
🤣🤣🤣🤣Huyo wa Shati kiboko
 
Namba moja mwamba Sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…