Execute JF-Expert Member Joined Sep 21, 2022 Posts 3,000 Reaction score 7,336 Nov 21, 2022 #61 mjingamimi said: Sawa.basi fanyeni yenu kwa kufuata taratibu za nchi husika SI kila nchi Ina tamaduni zake na sheria zake?kwanini kwa Qatar iwe nongwa.?hata hapa Tanzania mtalii akija Kuna mambo anaelekezwa afanye na mengine asifanye. Mimi naona tusiwapangie Click to expand... Tatizo ni kwamba mwanzoni wakati wanaomba kuandaa waliyakubali hayo mambo na wamekuja kubadilika sasa hivi.
mjingamimi said: Sawa.basi fanyeni yenu kwa kufuata taratibu za nchi husika SI kila nchi Ina tamaduni zake na sheria zake?kwanini kwa Qatar iwe nongwa.?hata hapa Tanzania mtalii akija Kuna mambo anaelekezwa afanye na mengine asifanye. Mimi naona tusiwapangie Click to expand... Tatizo ni kwamba mwanzoni wakati wanaomba kuandaa waliyakubali hayo mambo na wamekuja kubadilika sasa hivi.
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Nov 21, 2022 #62 Pombe lazima inyweke tu
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Nov 21, 2022 #63 FIFA alishakubali ndoa. Hana budi kulala bila nguo. tena wameshakula sana hela ya mwarabu ili apeleke kombe Qatar. Vumilieni tu.siku 30 sio nyingi Execute said: Tatizo ni kwamba mwanzoni wakati wanaomba kuandaa waliyakubali hayo mambo na wamekuja kubadilika sasa hivi. Click to expand...
FIFA alishakubali ndoa. Hana budi kulala bila nguo. tena wameshakula sana hela ya mwarabu ili apeleke kombe Qatar. Vumilieni tu.siku 30 sio nyingi Execute said: Tatizo ni kwamba mwanzoni wakati wanaomba kuandaa waliyakubali hayo mambo na wamekuja kubadilika sasa hivi. Click to expand...
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 11,936 Reaction score 15,196 Nov 22, 2022 #64 Execute said: Wanaweka sheria za kuwapangia watu maisha yao. Waarabu wasahau kuja kuandaa tena world cup. Click to expand... read ...... social constructism
Execute said: Wanaweka sheria za kuwapangia watu maisha yao. Waarabu wasahau kuja kuandaa tena world cup. Click to expand... read ...... social constructism