Pombe sio supu, cheki hawa..!!  

Peacesmart

Senior Member
Joined
Apr 19, 2017
Posts
113
Reaction score
101
Jamaa wawili walikuwa wanakunywa pombe huku wakiongea na mazungumzo yao yalikuwa hivi;

Jamaa1: Unajua mzee wangu ni Polisi?
Jamaa 2: Weee kweli!? Hata mimi mzee wangu ni Polisi!

Jamaa 1: John is my last name.
Jamaa 2: (Akashangaa): Wow! Hata mimi My surname ni John!.

Jamaa 1: I'm 19 years old
Jamaa 2: What?. Usiniambie aisee!
(Akicheeka), I'm 19 years old too.

Jamaa 1: Usiniambia umezaliwa on the 13th of march na ukasoma Songea Boys?.
Jamaa 2: Yes! Nimezaliwa. 13th of march... Usiniambie naota maana nimesoma shule hiyohiyo.

Wakakumbatiana na huku wakilia...

Jamaa mmoja akashangaa sana akamuuliza mhudumu:
"Kuna tatizo gani na hawa vijana?"

Mhudumu: "Hawa ni watoto wa Afande John, ni mapacha sema wamelewa sana!".
[emoji1] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmoja angeropoka hata hii bili yetu nina mpango wa kuilipia yote mwenyewe, ndio wangejua hawafanani kwa kila kitu.
 

Hizo zitakuwa ni bangi na huyo hakuwa mhudumu alikuwa pusher.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…