Pombe za bure

Angekunywa zilizonunuliwa na wanaume wenzake [emoji3][emoji3][emoji3]sasa sijui wangemjumuisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mbayaaa shost.
 
Amesema ni Dume.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aje kwa lishangazi hapa nimnyweshe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nipo planet nimesimama hapa pa kuingilia
 
Aje kwa lishangazi hapa nimnyweshe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nipo planet nimesimama hapa pa kuingilia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakua kalala huyu OP, mbna anakosa fursa hizi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itakua kalala huyu OP, mbna anakosa fursa hizi.

Kesho nayo ni siku .. walevi tunanyimana hela na deals lakini siyo pombe
 
Unamaanisha tuliopo huku ndio mapepo yaliyo-kimbia huko ulipo ?
Mkuu,
Haitokaa itokee mwanadamu akageuka pepo. Bali pepo hutaga mayai ndani ya mtu ili kila yai linapoanguliwa linatotoa tabia za mtu huyo🤣

Mashemasi tunapita kimya kimya tukisindikizwa na kibao cha 🎼🎵🎵Nibembeleze, 🎶nibeebe🎹🎤
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…