Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

Mimi ni mkristo ninaepinga uonevu wa wapalestina!
Kawaokoe mkuu..Wakati wa uongozi wake Trump alipropose resolution ya middle east mara mbili hao jamaa waligoma kuikubali kilichofuata baada ya nchi za kiarabu zikaanza kunormalize ties na Israel wanaanza kulia tena wasasema wanasalitiwa. Kinachowaponza hao jamaa ni ubishi tu.
 
Lazma wawe wabishi sababu wanajua ISRAEL ni taifa la HARAMU

Kua na uhusiano wowote na ISRAEL nikujitia najis uchafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio ukweli wenyewe.kwanini alaaniwa
 
HAWO WAYAHUDI WALIMKATAA YESU WAKASEMA DAMU YA YESU IWE JUU YETU NA VIZAZI VYETU VYOTE SASA YANAWAKUTA, WALIUWAWA 6 MILLION NA HILTER ,
NI ADHABU YA KUMKATAA YESU.
 
Ukweli upi? Hao wazungu ni wavamikw

Ukweli upi? Hao wazungu ni wavamizi
Aliyekudanganya wayahud ni wazungu tu ndie aliyekuharibu akili. Hiv hujui kabla ya hiyo jamii ya Ashkenazi kuhamia hapo walikuwepo wayahud asilia hapo wanaishi na waarabu miaka yote. Shida hapo ni kufutwa taifa la palestina na kuitwa Israel lakin sio kwamba wapalestina wana shida na Jews. Mayahud wapo nchi zote za kiarabu mpaka Iran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…