Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

Pompeo: Israel Haifanyi Uvamizi kwa Wapalestina bali Inatekeleza Maandiko ya Biblia

Habari

Hivi ndivyo Wazungu wanahalalisha Israel kuendeleza Uvamizi wa Ardhi ya Wapalestina Kwa visingizio vya Imani na maandishi ya kwenye Biblia.

Kauli kama hizi za kina Pompeo ni za kulaaniwa na wapenda Haki wote.

========


Mzozo wa waarabu na wayahudi lazima dini iingie.Wakrsto watawatetea wayahudi na waislamu watawatetea waarabu wa palestina.Kwa kifupi wayahudi wangekua wanyonge wangeuliwa wote sababu waarabu na dini ya kiislamu ambayo waarabu wengi ni waumini katika mafundisho yao wana chuki ya waziwazi kwa wayahudi.Lakini ukweli ni kwamba ukitaja haki za waarabu wa palestina lazima pia utaje haki za wayahudi wa uyahudini.Usiegemee upande mmoja
 
Mwanzo 22:14-15,17
[14]Ibrahimu akapaita mahali hapo Yehova-yire,
kama watu wasemavyo hata leo, Katika mlima wa BWANA itapatikana.
And Abraham called the name of that place Jehovahjireh: as it is said to this day, In the mount of the LORD it shall be seen.
[15]Malaika wa BWANA akamwita Ibrahimu mara ya pili kutoka mbinguni
And the angel of the LORD called unto Abraham out of heaven the second time,
[17]katika kubariki nitakubariki, na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulioko pwani; na uzao wako utamiliki mlango wa adui zao;
That in blessing I will bless thee, and in multiplying I will multiply thy seed as the stars of the heaven, and as the sand which is upon the sea shore; and thy seed shall possess the gate of his enemies;
 
ISRAEL taifa la HARAMU linatakiwa kulaaniwa kila sehemu
Huo ni mtazamo wako wa dini ya kiislamu ambao mungu wao ALLAH amesema wayahudi wamelaaniwa.Bali wakristo wanaona Israel ni taifa teule la mungu wao YEHOVA na limebarikiwa.So useme hivi Israel ni taifa haramu linatakiwa kulaaniwa na waislamu ila wakristo hawawezi kufanya unachosema.
 
Mwanzo 22:14-15,17
[14]Ibrahimu akapaita mahali hapo Yehova-yire,
kama watu wasemavyo hata leo, Katika mlima wa BWANA itapatikana.
And Abraham called the name of that place Jehovahjireh: as it is said to this day, In the mount of the LORD it shall be seen.
[15]Malaika wa BWANA akamwita Ibrahimu mara ya pili kutoka mbinguni
And the angel of the LORD called unto Abraham out of heaven the second time,
[17]katika kubariki nitakubariki, na katika kuzidisha nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni, na kama mchanga ulioko pwani; na uzao wako utamiliki mlango wa adui zao;
That in blessing I will bless thee, and in multiplying I will multiply thy seed as the stars of the heaven, and as the sand which is upon the sea shore; and thy seed shall possess the gate of his enemies;
Kwa waislamu ni tofauti sababu mungu wa waislamu aitwaye allah amewalaani wayahudi na ndio maana wanawaita"MAYAHUDI"neno linaloonyesha kua wayahudi sio watu ni majitu.Kwahiyo hapa mtabishana mpaka asubuhi na msipate mwafaka.
 
Mmiliki halali kivipi!?..mji wa Jericho upo duniani kwa zaidi ya miaka 10 elfu!!..Ibrahim,ambaye ndiye chanzo Cha hao waisrael katokea Iraq kaenda nchi ya watu
There was a Jewish State with defined boundaries. No matter how hard people may raise their voices, Israel is systematically reclaiming its ancestral land. The climax for this move is the rebuilding of the temple.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkristo Ila nawapinga waisrael kuwaua wapalestina na kuchukua maeneo Yao.
Israeli siyo taifa la Kikristu, sielewi kuanza kwa wewe ni Mkristu na unapinga kile unachoita ni uvamizi. Israeli ni taifa la dini ya Kiyahudi ambayo ndiyo chanzo cha dini ya Kikristu na Uislam.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Israeli siyo taifa la Kikristu, sielewi kuanza kwa wewe ni Mkristu na unapinga kile unachoita ni uvamizi. Israeli ni taifa la dini ya Kiyahudi ambayo ndiyo chanzo cha dini ya Kikristu na Uislam.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Huwezi kuwatenganisha wakrsto na wayahudi japokua wayahudi sio wakristo ila misingi ya dini ya kikrsto imetokana na dini ya kiyahudi.
 
There was a Jewish State with defined boundaries. No matter how hard people may raise their voices, Israel is systematically reclaiming its ancestral land. The climax for this move is the rebuilding of the temple.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
If we follow the bible, The land of Israel was not goven to Jews only , it was given to the seed of Jacob without regard to whether they are Jews or not!. Nobody can prove that all Palestinians don't have Jacob blood in them.

The fact that Palestinians today are muslims or identify themselves with arabs is because they embraced Islam and adopted arab culture( They were arabised)
 
Back
Top Bottom