Pona yetu vijana wa kileo ni vita ya 3 ya dunia, tofauti na hapo hii dunia itaendelea kuwa mikononi wa watesi wetu

Kiufupi alichoandika mtoa mada yuko sahihi kabisa
Hizi nchi za matakoni kwa dunia ni hatari mno kwa ustawi wa. Kijana wa leo
 
Vita ya 3 ikitokea tarajia madhara makubwa mno mfano wake haujawahi kuwepo kwa silaha zilizopo kwa karne hii.
lkn yote kwa yote vita3 haitachukua muda kutokea
 
Fanya kazi boya wewe umasikini wako usitake utuletee vita duniani
 
Miaka 7 huo uchumi utaufufua tena wewe au wajukuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…