Ponda mali kufa kwaja! Nifanye saving ili iweje? Mimi ni mwendo wa kuponda mali tu

Ponda mali kufa kwaja! Nifanye saving ili iweje? Mimi ni mwendo wa kuponda mali tu

Comment nyingi kumkosoa mwamba wakati kashasema yeye marehemu mtarajiwa, Je mmemuhoji kwanini kajiita marehemu mtarajiwa? na ninyi mnaozungumzia kwamba atawaachaje wanaomtegemea je kama hana? Kila mtu anatakiwa aandae ahera yake hapa duniani habari za maisha ya hapa ni maamuzi yako unaishije.
 
Kwanza mimi ni marehemu mtarajiwa nifanye saving ili iweje? Nigundue nini hasa? Nitaponda mali mpakss maji yaseme mma kwanza maisha yenyewe ni mafupi hasa cha kufanya saving mimi ili iweje?

Juzi kuna mwana 30's amepoteza maisha hivi lakini kwenye account alikuwa na almost 150 million mbio zote hizo za kutafuta mali na pesa lakini imeishia tu ahahhahahaha kwangu mimi ni mwendo wa kula na kuponda mali kwahiyo wanajamii forums leo tukutane samaki samaki masaki tuje tuponde mali then baadae tuelekee cape Town fish market kuponda mali.


Yaaani saving yangu yote Ile itaishia kwenye kuponda mali tu kwahiyo wana karibu kama unahitaji kujoin na mimi kwenye viwanja ni pm then nitakupa namba yangu unipigie nikupe rating ya wiki mzima!we unafikiri mwana baada ya kufariki pesa zake si watakula watu ambao hawakuzitolea jasho?


Karibuni!
First year chuo mnasumbuaga mno mkishapewa boom. Yaani kazi ni kupost utumbo tuuu. Mara nna 50m kwenye account nimesevu, mara ooh nimetatuliwa marinda na njemba 5, mara ooh naponda mali kifo chaja yaani ni utumbo mtupu.

Bora UE ianze utulie aisee!!
 
Back
Top Bottom